Usilete ulaghai katiba sio tatizo. Wala hata ukileta katiba mpya unafikiri itawasaidia vipi wapinzani?Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.
Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.
Sisemi kuwa haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kuwa ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakuwa nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.
Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi. Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.
Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.
Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete.
Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.
Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.
Weekend njema!
Sio kweliKimsingi mama anapaswa amalizie tu hii miaka minne aliyoirithi kisha mchakato wa kutafuta mgombea mwingine ufanyike. Mama hatoshi kwenye kiti
Hata wapinzani wa wenzetu huwa wanawaza mambo ya maana si kupambana na chama dolaDah ila Africa sijui nani atakuja kutupandikiza akili timamu, kiongoz msomi anafanya mambo usiyoyatarajia,
Wenzetu wanazid kufanya maendeleo kitechnolojia sisi tunapambana na wapinzani. Sijui ni lini tutapambana na ujinga.
Alishasema kuwa atagombea na cha kumfanya hamnaNawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.
Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.
Sisemi kuwa haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kuwa ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakuwa nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.
Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi. Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.
Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.
Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete.
Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.
Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.
Weekend njema!
Una uhakika?Mama atashinda kwa kura nyingi sana.
#Mama 2025
Sio kumshauri asigombee, Ila CCM iruhusu demokrasia kwa wanachama kuomba ridhaa ya chama kwa ajili ya nafasi ya uraisNawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.
Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.
Sisemi kuwa haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kuwa ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakuwa nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.
Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi. Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.
Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.
Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete.
Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.
Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.
Weekend njema!
Utaambiwa wewe ni mpinzaniNawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.
Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.
Sisemi kuwa haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kuwa ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakuwa nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.
Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi. Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.
Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.
Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete.
Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.
Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.
Weekend njema!
100%Una uhakika?