GE2025 CCM tumeshashinda Uchaguzi huu

GE2025 CCM tumeshashinda Uchaguzi huu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Wewe ndugu unajua why nilikupa like, hivi nyie hamnaga roho mtakatifu , mwafaaa , naishia hapa
 
Yaan mmezurura zurura mmepoteza mabilioni kwa upuuuzi na mnakuja kutuhadaa eti tumeshinda mapema...mmemshinda nani sasa hebu oneni aibu
 
Mapema asubuhi Tu. Tunaandaa sherehe ya Uapisho Uwanja wa Amani
Tatizo mmesha kuwa vipofu na UCCM na mnasahau kabisa utaifa na uzalendo kwa nchi na wananchi wake matokeo yake wahuni wanapita huko huko mgongoni kwa chama kufahulisha ajenda zao za wizi wa rasilimali za umma na wizi wa fedha za umma na uhujumu wa miradi ya umma kwa maslahi yao na watoto wao huku nyie wafia chama mkiletewa baskeli na na posho za elfu kumi kumi huku kuimbishwa nyimbo za iyena. iyena
 
na sisi ambao kura zetu zimeungwa na NIDA kwenye mtandao tunaruhusiwa tena kupiga kura?
 
Back
Top Bottom