mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,047
- 1,503
WanaJf, Salaam!
CCM imeweza kufuta vitendo vya ufisadi mkubwa na mdogo nchini ukilinganisha na zama takriban zote zilizotangulia. Sasa tujielekeze kwenye kufuta hao wasiojulikana - watekaji wa
(I). Mohamed Dewji (MO),
(ii). Azory Luanda (Mwandishi),
(iii). Insp. Masabo,
(iv). Ben Saanane (Mwanaharakati),
(v). Mdude (Mwanasiasa) nk
Wananchi endeleeni kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi ili kazi hii ya kutokomeza wasiojulikana ifanikiwe - kamwe tusikubali watu wachache waharibu image nzuri ya nchi yetu inayoongozwa na Rais jasiri Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli "UMOJA NI USHINDI CCM 2019"
MK 2019
CCM imeweza kufuta vitendo vya ufisadi mkubwa na mdogo nchini ukilinganisha na zama takriban zote zilizotangulia. Sasa tujielekeze kwenye kufuta hao wasiojulikana - watekaji wa
(I). Mohamed Dewji (MO),
(ii). Azory Luanda (Mwandishi),
(iii). Insp. Masabo,
(iv). Ben Saanane (Mwanaharakati),
(v). Mdude (Mwanasiasa) nk
Wananchi endeleeni kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi ili kazi hii ya kutokomeza wasiojulikana ifanikiwe - kamwe tusikubali watu wachache waharibu image nzuri ya nchi yetu inayoongozwa na Rais jasiri Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli "UMOJA NI USHINDI CCM 2019"
MK 2019