CHADEMA wameona bunge la katiba ndo center ya kampeni zao za 2015 wamesahau miaka 50 iliopita walikuwepo na hawakufanya chocho sasa ndo eanajidai wamezaliwa hiv yule kiongoz wao mkuu...... anaumri gani.? Me nawashangaa sana miaka yoooote CCM inang'ara walikuwa wapi? tusiandamane wala nini tukae tuwaangalie watavyoandamana afu bunge linaendelea wanataka katiba ya CHADEMA si tunataka ya wananchi CCM inajua mahitaji ya wananchi wake toka zamani...1964,
Kwamba cdm ilikuwepo miaka 50 iliyo pita?