mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
sikamoo mkuu
kama Mwenyekiti wangu Wa chama natoa nasaha kwako na wewe pia kutoa tamko kwa sisi wafuasi wote nchi nzima Wa ccm kufanya maandamano ya kuwapinga chadema ambao wanajiona kama wao ndio wenye hati miliki ya bunge la katiba.
mosi mkuu wangu Wa chama kukaa kimya kama chama inatugharimu sana kwani inazidi kuwapa umaarufu chadema kwa wananchi na tunapoelekea uchaguzi mkuu itatugharimu sana kama chama. ccm nasi tusikae kimya kuoana chadema wanatumia mwanya Wa maandamano kujiongezea wafuasi, mathalani mkuu kumbuka sana siasa ni kwa sasa ni SAYANSI hivyo basi sisi vijana tuliopo Ccm wenye muono Wa mbali tunatokuomba toa tamko kama Mwenyekiti Wa chadema nasi tukapambane nao huko mtaani kuwa tumechoka na uhuni wao kwa serikali yetu kuifanya isitawalike.
ni hayo mkuu kwa Leo.
asante nategemea majibu yako soon
kama Mwenyekiti wangu Wa chama natoa nasaha kwako na wewe pia kutoa tamko kwa sisi wafuasi wote nchi nzima Wa ccm kufanya maandamano ya kuwapinga chadema ambao wanajiona kama wao ndio wenye hati miliki ya bunge la katiba.
mosi mkuu wangu Wa chama kukaa kimya kama chama inatugharimu sana kwani inazidi kuwapa umaarufu chadema kwa wananchi na tunapoelekea uchaguzi mkuu itatugharimu sana kama chama. ccm nasi tusikae kimya kuoana chadema wanatumia mwanya Wa maandamano kujiongezea wafuasi, mathalani mkuu kumbuka sana siasa ni kwa sasa ni SAYANSI hivyo basi sisi vijana tuliopo Ccm wenye muono Wa mbali tunatokuomba toa tamko kama Mwenyekiti Wa chadema nasi tukapambane nao huko mtaani kuwa tumechoka na uhuni wao kwa serikali yetu kuifanya isitawalike.
ni hayo mkuu kwa Leo.
asante nategemea majibu yako soon