Mwamba Usemao Kweli
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 744
- 186
Nilichokiona na kukisikia leo si kutangaza nia bali kuanza kampeni kwa mgombea wa chama ccm.
CCM tuambieni kama huyu mheshimiwa sana ndio mgombea wetu aliyepitishwa na chama.
Kauli za waalikwa akiwemo mhe Kingunge ni kampeni kwa mgombea aliyeteuliwa tayari.
My take: CCM tusimamie kanuni na taratibu za chama kabchama kuzusha fujo ndanfujo nchi yetu kwa wkinyime kufanya kinyume na kanuni na taratibu husika.
CCM tuambieni kama huyu mheshimiwa sana ndio mgombea wetu aliyepitishwa na chama.
Kauli za waalikwa akiwemo mhe Kingunge ni kampeni kwa mgombea aliyeteuliwa tayari.
My take: CCM tusimamie kanuni na taratibu za chama kabchama kuzusha fujo ndanfujo nchi yetu kwa wkinyime kufanya kinyume na kanuni na taratibu husika.