commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,957
Leo hii ni siku ya tatu tangu kumalizika sherehe za maadhimisho ya miaka 35 ya uhai wa ccm.
Hali ya uchafu ni mbaya sana, katika eneo lililotumika kwa mapishi kwa ajili ya chakula kwa watu waliosombwa na malori toka sehemu mbalimbali il kufanikisha sherehe hizo.
Kuna uchafu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamija na mabaki ya kuni,makaratasi ya nailoni mifupa na aina mbalimbali za uchafu umezagaa pale kuzunguka eneo la uwanja wa kirumba
Na mandhali ya eneo hilo ni mbaya.
Nawasihi wana ccm waliohusika na maandalizi hayo,kutimiza wajibu wao kwa kusafisha eneo hilo na kuliacha likiwa kama lilivyokuwa safi hapo awali.kuna watu mbalimbali ambao shughuli zao za kila siku zinafanyikia kuzunguka eneo hilo na sasa wanataabika na kero hiyo tafadhalini sana muwe wasikivu.
source mimi binafsi niko eneo husika kwa sasa,nilitaka kuingia villa ila nimeahirisha
Hali ya uchafu ni mbaya sana, katika eneo lililotumika kwa mapishi kwa ajili ya chakula kwa watu waliosombwa na malori toka sehemu mbalimbali il kufanikisha sherehe hizo.
Kuna uchafu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamija na mabaki ya kuni,makaratasi ya nailoni mifupa na aina mbalimbali za uchafu umezagaa pale kuzunguka eneo la uwanja wa kirumba
Na mandhali ya eneo hilo ni mbaya.
Nawasihi wana ccm waliohusika na maandalizi hayo,kutimiza wajibu wao kwa kusafisha eneo hilo na kuliacha likiwa kama lilivyokuwa safi hapo awali.kuna watu mbalimbali ambao shughuli zao za kila siku zinafanyikia kuzunguka eneo hilo na sasa wanataabika na kero hiyo tafadhalini sana muwe wasikivu.
source mimi binafsi niko eneo husika kwa sasa,nilitaka kuingia villa ila nimeahirisha