Taarifa za kiinteligensia za CCM zimetaarifu kwmba mziki wa UKAWA ni mzito sana. Wamegundua kwamba kukaa mle mjengoni na kupiga ngonjera kama walivyozoea itakula kwao. Ndio sababu wanaona nao waingie mtaani. Lakini ukweli ni kwamba hawatasikilizwa labda huko wilaya ya Nyasa kwa mzee wa msituni Komba na Bagamoyo kwa prince Riz1