Wakija wenyewe wenye uchungu na chama chao utasikia walikuwa mzigo kwa chama na ni magamba ndani ya chama.Theeeeee ngoja wenyewe waje hapa tuwasikie.Hapa na kumbuka ule msemo wa bandu bandu humaliza .............
Sijagombea Sinza, huo ni uzushi, nitoke Kariakoo nikagombee Sinza? ntajuwaje kuongoza na kuwatatulia matatizo yao wananchi wa Sinza na siishi nao huko?