Viongozi wa tawi la ccm sinza leo wamewasilisha barua za kujiuzulu mbele ya waandishi wa habari ITV
Wamechelewa sana hao bandugu...
Viongozi wa tawi la ccm sinza leo wamewasilisha barua za kujiuzulu mbele ya waandishi wa habari ITV
"Hao ni Oil Chafu Acha waondoke Tunajisafisha" Nape Nnauye
Tumegundua hizo ni propaganda zenu wana CDM. CCM tumetulia na mikakati mipya ya kuigaragaza CDM uchaguzi mkuu 2015 zikiwemo kuchukua kata zote za Sinza