Kitendo cha CCM kuzuia barabara makusidi leo kisa wamezomewa sijakipenda kabisi .hilo limetokea leo katika baadhi ya mitaa ya Dodoma mjini wakati CCM walipokua wakizunguka na mgombea ubunge wao Antony Mavunde. Kuna maeneo walikua wanazuia magari makusudi halafu wanapiga picha ili baadae waseme waliisimamisha Dodoma.