BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Mama salma kikwete amewaomba akina mama mkoani shinyanga kuwasihi vijana wao kukipenda ccm kwa kuwa hawajui na hawaoni mambo mazuri yaliyofanywa na ccm.Hii inatokana na ukweli kwamba kwa sasa vijana wote wanaunga mkono vyama vya upinzani!source gazeti la leo