sababu ya vyama kuwa na ratiba tofauti za mikutano ya kampeni ni kuwapa fursa wananchi wa eneo husika kusikiliza sera za wagombea na au vyama tofauti tofauti bila kujali itikadi zao, ule haukuwa mkutano wa CCM, bali mkutano wa kampeni wa CCM, ambao kimsingi unawapa watu wote wa eneo husika kulinganisha sera za vyama tofauti na kisha kufanya maamuzi, walichokifanya hao magamba ni kuonesha umasikini wa fikra na si jingine, lakini pia kumbuka jamaa si ndo huwa anaitwa Tyson, yule bondia aliyeingia uwanjani bila gum protector ili amng'ate mwenzie