Nimeshangazwa na kusikitishwa na kitendo cha Wassira na wafuasi wa CCM kuwapiga na kuwakamata vijana alio nyosha mikono na kuonyesha ishara ya CDM katika mkutano wa CCM.
Jamani naomba mnisaidie;
1. Hii mikutano ya kampeni inayofanywa inatakiwa ihudhuriwe na wafuasi wa vyama tu?
2. Km sivyo kunaubaya gani wa mtu kuwa mkweli kuwa ni mfuasi wa chama fulani na yuko pale kusikiliza sera zenu, na km mtamshawishi anaweza kubadilika?
3. Je kwenye mikutano hiyo kuna umhimu gani wa kuanza kuulizana nani wafuasi wa chama hiki na siyo?
4. km ni haki ya kila raia kupata habari km walivyofanya vijana wale, kwanini wafuasi wa CCM wawapige na kuwtoa mzobe mzobe na kuwapakia kwenye gari km waharifu?
hii jamani siyo haki, na kwa hili CCM wameishiwa sera. walichopaswa TYSON na wafuasi wengine wa CCM ni kuwapongeza wafuasi hao wa Chadema kwa kufika kusikiliza sera zao, hivyo walipaswa kuwashawishi kwa sera na si kuwa treat km walivyowafanya.
Nawasilisha wadau.
Jamani naomba mnisaidie;
1. Hii mikutano ya kampeni inayofanywa inatakiwa ihudhuriwe na wafuasi wa vyama tu?
2. Km sivyo kunaubaya gani wa mtu kuwa mkweli kuwa ni mfuasi wa chama fulani na yuko pale kusikiliza sera zenu, na km mtamshawishi anaweza kubadilika?
3. Je kwenye mikutano hiyo kuna umhimu gani wa kuanza kuulizana nani wafuasi wa chama hiki na siyo?
4. km ni haki ya kila raia kupata habari km walivyofanya vijana wale, kwanini wafuasi wa CCM wawapige na kuwtoa mzobe mzobe na kuwapakia kwenye gari km waharifu?
hii jamani siyo haki, na kwa hili CCM wameishiwa sera. walichopaswa TYSON na wafuasi wengine wa CCM ni kuwapongeza wafuasi hao wa Chadema kwa kufika kusikiliza sera zao, hivyo walipaswa kuwashawishi kwa sera na si kuwa treat km walivyowafanya.
Nawasilisha wadau.