CCM Sasa Waanza Kuikubali CHADEMA

hoja inabaki pale pale kama elimu bure ni sera ya ccm kulikuwa na haja gani ya viongozi wa ccm kulikanusha kwa nguvu kwenye kampeni za 2010
ww ni zaidi ya low class thinkers kwa sababu unataka kutuambia kuwa value za tanu ni sawa na ccm ya leo?you'll have to be mad to believe that and idiot kujaribu kuwashawishi watu waamini hivyo.Na ni lunacy kuamini misingi na imani ya tanu ya nyerere ndiyo hii inayosimamiwa na ccm ya jk halafu ujione ni great thinker.
na uhuru wa kuzungumza si favour ni haki labda kwa majuha watakaoona si haki
Sikuelewi unaposema hakuna kitu cha bure na kwamba elimu inalipiwa na kodi wakati huo huo ukinadi elimu bure ni sera ya ccm mr great thinker kwa usingewashauri akina Nape wakati wa kampeni?
Kama wewe mtetezi wa ccm unajiona great thinker kwa hoja hizi no wonder jk analalamika,pinda analalamika,hosea analalamika Nape analalamika,ole sendeka analalamika,bashe analalamika chaotic. kwa nini usiwape great idea!
Mkuu kama kawaida you are a confused lot.
Inabidi ujiridhishe kile unachotaka kujadili, kama ni kujadili sera za CCM na TANU karibu na utapata majibu sahihi tu.

Ubingwa wa kurusha vijembe haikusaidii sana kutanabaisha facts.
And in fact you ring hollow- na waswahili walisema debe tupu haliachi kutika.

Narudia tena, zaidi ya rhetorics, bado hujaongea kitu.
 
Kwa nini umbeze, ulijuwa wangetoa ruzuku kiasi gani katika viwanda vivyosalisha vifaa vya ujenzi? pia ulijuwa wangepunguza kodi kiasi gani pamoja na VAT....KIPINDI KILE MFUKO MOJA WA CEMENT ULIKUWA KATI YA ELFU 12 NA 15.. KTK HIZO TOA 20% VAT KIPINDI KILE PAMOJA NA KODI NYINGINE BADO HAPO SEREKALI IJAWEKA RUZUKU... MI NAAMINI KABISA MTU ANAYE SUBUTU KUONGEA HVYO NI JASIRI SANA.... NA HATA KISINGE FIKA 5,000/= INGESHUKA KATI YA 8 AU 7 HIVI NA KUMBUKA KABLA YA KUPANDA GAFLA NA KUFIKIA 12,000 ILIKUWA SH 7,500/= NI MIPANGO TU NDUGU...NA WANAOSEMA SS NI WENDAWAZIMU KM WALVYOCHUKULIA DR?
Watanzania bwana kwa kuosa kufikiri hamjambo!
Sasa ukiondoa hiyo kodi ya VAT, shughuli za kiserikali zitaendeshwaje?
 
Watanzania bwana kwa kuosa kufikiri hamjambo!
Sasa ukiondoa hiyo kodi ya VAT, shughuli za kiserikali zitaendeshwaje?

Nadhani wewe ndo unakosa kufikiri, nikuulize serekali inapotoa misamaa ya kodi kwa wawekezaji serekali aijiendeshi? na tunaposema kuondo VAT kwani ni kwa bidhaa zote au ni kwa vifaa vya ujenzi tu kama vile mabati, saruji na nondo? na kama ukiondoa VAT serikali aiwezi kujiendesha, unafuatilia bajeti mbali mbali ya kila mwaka wa bajeti? kwa sababu kila mwaka kuna baadhi ya bidhaa zinaondolewa VAT na kodi nyingine na baadhi ya bidhaa kuongezewa kodi.sasa je serekali inapofanya hvyo aijiendeshi? na jambo lingine wao watu wako ccm wanaposena serekali itoe kodi na kutoa ruzuku kwa vifaa vya ujenzi ili kumuwezesha mwananchi wa haili ya chini kujenga nyumba ...wao awafikiri na km serikali ikitekeleza hayo basi aitaweza kujiendesha
 
Nadhani wewe ndo unakosa kufikiri, nikuulize serekali inapotoa misamaa ya kodi kwa wawekezaji serekali aijiendeshi? na tunaposema kuondo VAT kwani ni kwa bidhaa zote au ni kwa vifaa vya ujenzi tu kama vile mabati, saruji na nondo? na kama ukiondoa VAT serikali aiwezi kujiendesha, unafuatilia bajeti mbali mbali ya kila mwaka wa bajeti? kwa sababu kila mwaka kuna baadhi ya bidhaa zinaondolewa VAT na kodi nyingine na baadhi ya bidhaa kuongezewa kodi.sasa je serekali inapofanya hvyo aijiendeshi? na jambo lingine wao watu wako ccm wanaposena serekali itoe kodi na kutoa ruzuku kwa vifaa vya ujenzi ili kumuwezesha mwananchi wa haili ya chini kujenga nyumba ...wao awafikiri na km serikali ikitekeleza hayo basi aitaweza kujiendesha

Kwa hiyo tuseme CDM ikikamata nchi kodi bye bye!
 
Kwa hiyo tuseme CDM ikikamata nchi kodi bye bye!


Kweli wewe ni kilasa wa kifiria, km ungekuwa muelewa usingerudia kujibu...... sija sema kodi zote na usidhani bidhaa zote zinatoswa kodi. kuna bidhaa kulingana na umuhimu wake serikali inapunguza kodi au kuondowa kabisa.. na CDM wakati wa uchaguzi walisema wangepunguza kodi na kutoa ruzuku au nikufafanulie kabisa ruzuku nini kwa sababu utanichosha tena kujibu hoja zako zinazofanana sura ulioiweka hapa... ruzuku ni fungu la pesa serekali utoa kwa mashirika, taasisi, NGOs AU SEKTA yoyote pale serikali inapoana kuna umuhi wa utowaji wa uduma au bidhaa.

Unaposema CDM ikiingia madarakani kodi bye bye ni ufinyu wako wa kufikiri kwa sababu katika bajeti mbali mbali Bajeti kivuli(CDM) usomwa na wanatoa mapendekezo mazuri kwa serekali namna ya kupanuwa wigo wa kukusanya kodi.. na mapendekezo mengine uchukuliwa na serikali....sasa hapa unaulisaje CDM ikiingia madarakani kodi bye bye!
 
Kweli wewe ni kilasa wa kifiria, km ungekuwa muelewa usingerudia kujibu...... sija sema kodi zote na usidhani bidhaa zote zinatoswa kodi. kuna bidhaa kulingana na umuhimu wake serikali inapunguza kodi au kuondowa kabisa.. na CDM wakati wa uchaguzi walisema wangepunguza kodi na kutoa ruzuku au nikufafanulie kabisa ruzuku nini kwa sababu utanichosha tena kujibu hoja zako zinazofanana sura ulioiweka hapa... ruzuku ni fungu la pesa serekali utoa kwa mashirika, taasisi, NGOs AU SEKTA yoyote pale serikali inapoana kuna umuhi wa utowaji wa uduma au bidhaa.

Unaposema CDM ikiingia madarakani kodi bye bye ni ufinyu wako wa kufikiri kwa sababu katika bajeti mbali mbali Bajeti kivuli(CDM) usomwa na wanatoa mapendekezo mazuri kwa serekali namna ya kupanuwa wigo wa kukusanya kodi.. na mapendekezo mengine uchukuliwa na serikali....sasa hapa unaulisaje CDM ikiingia madarakani kodi bye bye!
Hapo ndo umenichanganya lapsa kapsa papaangu!

Sasa hiyo ruzuku mtaitoa wapi yailahi!
 
Mkuu kama kawaida you are a confused lot.
Inabidi ujiridhishe kile unachotaka kujadili, kama ni kujadili sera za CCM na TANU karibu na utapata majibu sahihi tu.

Ubingwa wa kurusha vijembe haikusaidii sana kutanabaisha facts.
And in fact you ring hollow- na waswahili walisema debe tupu haliachi kutika.

Narudia tena, zaidi ya rhetorics, bado hujaongea kitu.

weza ona mi ni confused lot lakini vilevile haisaidii kitu kutumia lugha ya kiintellectual ili kutaka kuwacunfuse watu wakati thread yenyewe ni nyepesi na inaeleweka.
sidhani kama unaweza ukazungumzia sera bila kuitaja walau msingi wa sera za chama husika ambayo hapa niliitaja CCM.umejitahidi kutaka kuonyesha kuwa ni CCM ambayo ni mwanzilishi wa sera ya elimu ya bure na kuatika kulijadili hilo nilikutajia Azimio la Arusha ambapo ndugu yangu kwa sifa siyo vijembe kuwa hiyo ni stupid rhetoric.
Fine! lakini lilikuwa ni azimio la arusha ambalo ndoyo lilitoa njia au mwanga wa kuweza kutoa elimu bure kwa watanzania,na haikuwa elimu tu hata huduma za afya,nakumbuka mwaka 71 nikisoma shule ya msingi pale ilala boma saa nne tulikuwa tunapewa kitabu tunaenda hospital amana tunatibiwa bure,na kama ulivyopoint hiyo inatokana na kodi zetu.lkn ni busara leo kusema kuwa kuzungumzia azimio la arusha ni stupid rhetoric?
Kweli nakubaliana na wewe kuwa azimio la arusha siyo static lakini kwa azimio la zanzibar mmeliboresha au mmelivunja?
Na kwa azimio la zanzibar hata mwelekeo wa siasa za ccm zimebadilika,usitake kutumia terminology za kichumi zinazotumikamkwenye lecturing theatre ili kuhalalisha uozo,lugha nyepesi itakayoeleweka kwa wanajamvi wote ni muafaka kwa mustakabali wa jamii yetu.
msingi wa siasa ya ujamaa ilikuwa ni azimio la arusha,na msingi wa azimio la zanzibar ni ubepari uchwara.tuliona kwenye azimio la arusha miiko ya uongozi,sera za uchumi,elimu,afya nakadhalika na kadhalika na humo ndimo tunapopata elimu ya bure,sasa kwa azimio lenu la zanzibar ambapo mmetengeneza viongozi wafanyabiashara,wajasiria mali waliofanya biashara hadi ikulu hapo tena kuna sera ya elimu bure?
inawezekana kutokana na mabadiliko katika jamii isiwezekane kwa kiwango kile cha mwanzo lakini huwezi leo ukasema kuwa elimu ya bure ni still sera ya ccm.
chama cha siasa kina itikadi ambapo sijui ccm sasa hivi ina itikadi gani,utaniambia ujamaalakini kweli hao viongozi wenu akina Chenge na Lowasa just to name the few wanapractice ujamaa tena viongozi labda wangekuwa watu wengine,kumbuka mojawapo ya imani ya tanu iliyorithiwa na ccm,cheo ni dhamana sitatumia cheo changu kwa....,utamalizia mwenyewe halafu fananisha na sakata la rada na richmond.
umesema huwezi kuitofautisha ccm na tanu kweli wanaweza wakawa wanashare dna lakini tabia na matendo ni tofauti na nina imani hata wewe unaelewa hivyo ila kwa sababu za makusudi uko tayari kupotosha watanzania kwa maslahi binafsi i think.inataka kutumia uintellectual kuimpress kwa maneno ya kisomi kutetea uozo my friend si kwa tanzania ya leo watu wameamka.
nimemsikia jana nape naye akisema kuwa sera ya elimu ya bure ni ya ccm,kwa asili yake ni kweli kabisa lakini kumbuka chama cha siasa wanatengeneza sera ambazo wanaenda kuziuza kwa wananchi ili wakiridhika nazo wawachague waongoze serikali ili kutekeleza sera ambazo waliwaambia wananchi na ndiyo maaana mara nyingi wakishundwa kuzitekeleza kwenye uchaguzi mwingine wanaweza kuulizwa,na uchaguzi mkuu wa mwisho 2010 walikuwa ni chadema waliokuja na sera za elimu bure na kupunguza vifaa vya ujenzi,ambapo serikali na makada wa ccm walipinga kwa nguvu zote,mbona hulikanushi hilo?
nilipokuwa mtoto tulikuwa tunamchezo wa kukaa barabarani na kuanza kuonyeshana magari kisha unawahi hilo hapo leyland ni langu miminimwishaliwahi na mwenzako labda atawahi isuzu wakati mwingine hutokea gari uliloliwahi wewe likawa ni zuri na mwenzako naye akasema ni lake basi mtabishana siyo lako langu,hapana langu hata gari litapita nyie mtabaki mnabishana,sasa wewe mkuu na usomi wako wa sayansi ya siasa Nape naye katibu mwenezi nadhani mmeingia katika mtego huo hilo langu langu,jiulizeni mnaliendeasha na kulimiliki?
hakuna sera mpya kabisa hapa duniani nadhani kama wajamaa labda wataiga kidogo uchina na soviet ya zamani hali kadhalika wabepari nao watachukua hapa uingereza,hapa usa wakiboresha na hali halisi ya mazingira yao wakatengeneza sera wanasonga mbele,leo msomi sidhani kama ni sahihi kulilia sera sababu zilitumiwa na wapinzani wenu na sasa hivi mnaona kuwa ni nzuri hadi akina lowasa wazee wa richmond wanazizungumzia mnapiga about turn gari yangu gari yangu toka enzi za baba nyerere.
nakubali naweza nikaring hollow lakini najivunia uzalendo wangu wewe baki tetea kwa nguvu zote ccm.ila tuwe wajinga kama mimi,maana ukiwa mjinga na ukakubali kuwa wewe nimjinga utajifunza na kutafuta maarifa ili uufute ujinga,lakini ogopa mpumbavu maana yeye ni mjinga lakini bahati mbaya hajijui kama yeye ni mjinga,atataka mbele za watu aonekane yeye ni mwenye maarifa na mjuzi wa mambo hata kama yanamuumiza yeye na wanajamiii wenzake anaoishi nao,mwishowe tunabaki yangu yangu kama watoto wakati taifa likiteketea,MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Mkuu kama kawaida you are a confused lot.
Inabidi ujiridhishe kile unachotaka kujadili, kama ni kujadili sera za CCM na TANU karibu na utapata majibu sahihi tu.

Ubingwa wa kurusha vijembe haikusaidii sana kutanabaisha facts.
And in fact you ring hollow- na waswahili walisema debe tupu haliachi kutika.

Narudia tena, zaidi ya rhetorics, bado hujaongea kitu.

weza ona mi ni confused lot lakini vilevile haisaidii kitu kutumia lugha ya kiintellectual ili kutaka kuwacunfuse watu wakati thread yenyewe ni nyepesi na inaeleweka.
sidhani kama unaweza ukazungumzia sera bila kuitaja walau msingi wa sera za chama husika ambayo hapa niliitaja CCM.umejitahidi kutaka kuonyesha kuwa ni CCM ambayo ni mwanzilishi wa sera ya elimu ya bure na kuatika kulijadili hilo nilikutajia Azimio la Arusha ambapo ndugu yangu kwa sifa siyo vijembe kuwa hiyo ni stupid rhetoric.
Fine! lakini lilikuwa ni azimio la arusha ambalo ndoyo lilitoa njia au mwanga wa kuweza kutoa elimu bure kwa watanzania,na haikuwa elimu tu hata huduma za afya,nakumbuka mwaka 71 nikisoma shule ya msingi pale ilala boma saa nne tulikuwa tunapewa kitabu tunaenda hospital amana tunatibiwa bure,na kama ulivyopoint hiyo inatokana na kodi zetu.lkn ni busara leo kusema kuwa kuzungumzia azimio la arusha ni stupid rhetoric?
Kweli nakubaliana na wewe kuwa azimio la arusha siyo static lakini kwa azimio la zanzibar mmeliboresha au mmelivunja?
Na kwa azimio la zanzibar hata mwelekeo wa siasa za ccm zimebadilika,usitake kutumia terminology za kichumi zinazotumikamkwenye lecturing theatre ili kuhalalisha uozo,lugha nyepesi itakayoeleweka kwa wanajamvi wote ni muafaka kwa mustakabali wa jamii yetu.
msingi wa siasa ya ujamaa ilikuwa ni azimio la arusha,na msingi wa azimio la zanzibar ni ubepari uchwara.tuliona kwenye azimio la arusha miiko ya uongozi,sera za uchumi,elimu,afya nakadhalika na kadhalika na humo ndimo tunapopata elimu ya bure,sasa kwa azimio lenu la zanzibar ambapo mmetengeneza viongozi wafanyabiashara,wajasiria mali waliofanya biashara hadi ikulu hapo tena kuna sera ya elimu bure?
inawezekana kutokana na mabadiliko katika jamii isiwezekane kwa kiwango kile cha mwanzo lakini huwezi leo ukasema kuwa elimu ya bure ni still sera ya ccm.
chama cha siasa kina itikadi ambapo sijui ccm sasa hivi ina itikadi gani,utaniambia ujamaalakini kweli hao viongozi wenu akina Chenge na Lowasa just to name the few wanapractice ujamaa tena viongozi labda wangekuwa watu wengine,kumbuka mojawapo ya imani ya tanu iliyorithiwa na ccm,cheo ni dhamana sitatumia cheo changu kwa....,utamalizia mwenyewe halafu fananisha na sakata la rada na richmond.
umesema huwezi kuitofautisha ccm na tanu kweli wanaweza wakawa wanashare dna lakini tabia na matendo ni tofauti na nina imani hata wewe unaelewa hivyo ila kwa sababu za makusudi uko tayari kupotosha watanzania kwa maslahi binafsi i think.inataka kutumia uintellectual kuimpress kwa maneno ya kisomi kutetea uozo my friend si kwa tanzania ya leo watu wameamka.
nimemsikia jana nape naye akisema kuwa sera ya elimu ya bure ni ya ccm,kwa asili yake ni kweli kabisa lakini kumbuka chama cha siasa wanatengeneza sera ambazo wanaenda kuziuza kwa wananchi ili wakiridhika nazo wawachague waongoze serikali ili kutekeleza sera ambazo waliwaambia wananchi na ndiyo maaana mara nyingi wakishundwa kuzitekeleza kwenye uchaguzi mwingine wanaweza kuulizwa,na uchaguzi mkuu wa mwisho 2010 walikuwa ni chadema waliokuja na sera za elimu bure na kupunguza vifaa vya ujenzi,ambapo serikali na makada wa ccm walipinga kwa nguvu zote,mbona hulikanushi hilo?
nilipokuwa mtoto tulikuwa tunamchezo wa kukaa barabarani na kuanza kuonyeshana magari kisha unawahi hilo hapo leyland ni langu miminimwishaliwahi na mwenzako labda atawahi isuzu wakati mwingine hutokea gari uliloliwahi wewe likawa ni zuri na mwenzako naye akasema ni lake basi mtabishana siyo lako langu,hapana langu hata gari litapita nyie mtabaki mnabishana,sasa wewe mkuu na usomi wako wa sayansi ya siasa Nape naye katibu mwenezi nadhani mmeingia katika mtego huo hilo langu langu,jiulizeni mnaliendeasha na kulimiliki?
hakuna sera mpya kabisa hapa duniani nadhani kama wajamaa labda wataiga kidogo uchina na soviet ya zamani hali kadhalika wabepari nao watachukua hapa uingereza,hapa usa wakiboresha na hali halisi ya mazingira yao wakatengeneza sera wanasonga mbele,leo msomi sidhani kama ni sahihi kulilia sera sababu zilitumiwa na wapinzani wenu na sasa hivi mnaona kuwa ni nzuri hadi akina lowasa wazee wa richmond wanazizungumzia mnapiga about turn gari yangu gari yangu toka enzi za baba nyerere.
nakubali naweza nikaring hollow lakini najivunia uzalendo wangu wewe baki tetea kwa nguvu zote ccm.ila tuwe wajinga kama mimi,maana ukiwa mjinga na ukakubali kuwa wewe nimjinga utajifunza na kutafuta maarifa ili uufute ujinga,lakini ogopa mpumbavu maana yeye ni mjinga lakini bahati mbaya hajijui kama yeye ni mjinga,atataka mbele za watu aonekane yeye ni mwenye maarifa na mjuzi wa mambo hata kama yanamuumiza yeye na wanajamiii wenzake anaoishi nao,mwishowe tunabaki yangu yangu kama watoto wakati taifa likiteketea,MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Apart from stupid rhetorics za kulinganisha vitu visivyoendana na mada, sana sana unaishia kujinabaisha na wale ninoita low class thinkers.

Kuitenganisha TANU Na CCM ni sawa na kumtenganisha mama na mwanawe, hilo sina haja ya kulijadili maana nitakuwa natelemsha mno kiwango cha mada.

Suala hapa ni elimu ya bure, ambayo inreal fact haikuwa bure bali ililipiwa na kodi za wananchi.
Nyie small time thinkers msipoelewa kwa nini UPE ilipata matatizo hadi ikabadilishwa, itawachukua muda mrefu sana kuelewa kuwa ahadi za chama chenu ni sawa na kuuziwa mbuzi kwenye kiroba.

The economics behind free public education is not a matter that all can understand, achilia mbali wanazi kama huyu mnazi wa CDM jamvini.
There is nothing like free lunch, free education, or free social amenities. Kila kitu kina price yake.
Ukiona unapata huduma ya bure basi kuna mtu anailipia kwa maana ya kodi.
Ni wale wavivu wa kufikiri, wavivu wa kutafuta, wavivu wa fadhila ndio wanatafuta huduma za bure.

That is the bottom line.

Nafikiri mtoa hoja hapa si msomi wa political science. Siasa siyo static, na Azimio la Arusha haliwezi kuwa statc.
Kwa mantiki ya leo kujitegemea kuna maana tofauti kiliko ilivyokuwa 1967.

Sasa leo ukiongelea blue print mtu kama mimi sikuelewi, na nina shida kujua kama mtu kama wewe unelewa kuwa siasa ni mbadailiko katika jamii.

Kujitegemea however itabaki kuwa principle ya utu wa mtanzania, na vivyo elimu ya kujitegemea itabaki kuwa msingi wa kumjenga kijana wa kitanzania.

Ni CCM, na siyo CDM iliyoleta utandawazi na soko huria kulingana na mabadiliko katika jamii.
The mere existence ya CDM ni zao la ulegezaji wa siasa za jamiii, zoezi lililo asisiwa na CCM.

Extrapolation ya siasa hiyo kuingia kwenye elimu is not a conclusion, but a process.
Process ambayo nafikiri ipo juu sana ya uwezo wa kufikiri kwa huyu mtoa mada na chama chake , na hata wapambe wake.

Masopakyindi unaniabisha port , Mbona upeo wako upo chini sana, vitu unavyoeleza hapo ni pumba tupu, mara unakubali elimu bure ilikuwa ni sera ya CCM, mara unakanusha tena hakuna elimu bure, hivi humu kwenye jamvi unafikiri wewe tu ndo mwenye uelewa peke yako ? angalia sana njaa zitawauwa
 
Masopakyindi unaniabisha port , Mbona upeo wako upo chini sana, vitu unavyoeleza hapo ni pumba tupu, mara unakubali elimu bure ilikuwa ni sera ya CCM, mara unakanusha tena hakuna elimu bure, hivi humu kwenye jamvi unafikiri wewe tu ndo mwenye uelewa peke yako ? angalia sana njaa zitawauwa
Usipate mchecheto mkuu, njaa kwangu haipo.
Natetea facts na principles.

Tatizo la vijana kama ninyi wa leo ni utgemezi wa akili na jinsi ya kupamanua mambo kiuhalisia
Mkiambiwa messiah wa kuwaletea vya bure kama manna kaja,basi mnafurika huko kama senene bila kujiuliza malengo ya ahadi za vitu vya bure.

Kama mkuu umesoma basi tumia vizuri elimu na akili yako kukuneemesha wewe kwanza ,jamii yako hala Taifa kwa ujumla.

Ukisema upeo wangu uko chini mimi nakucheka, kwa vile najua kuwa najua na nina uhakika na ninachoongea na si kwa imani tu bali hata kwa uhalisia.

Tatizo lako hujui kuwa hujui na kuwa ni vijana kama ninyi ambao kama punda mwabebeshwa mizigo mizito isiyo na tija kwenu wenyewe.
 
kwani mpaka leo hamjui kuwa matakwa ya chadema ndo yanayotekelezwa, kwani katiba mpya imetokea wapi????
 
Back
Top Bottom