Mkuu Pasco,
Sio kweli kuwa UWT wameweka jicho JF 24/7 nakupa habari yenye uhakika 99% Kuna haja ya kutafuta mbinu nyingine ya kuwafanya washughulike. Hizi tunazopiga hapa ni kelele za Mlango................!
OMG! Kazi bado tunayo, huu umati bado una fikra za zama za mawe....unategemea nini hapo? No wonder JK anajitapa na 70%....!! $#!+ 🙁🙁:?::?::-x:-x.....So sad!
FMEs!
Karibu sana JF dada Debora! Kwema huko utokako?am a new member but am not a politician but since am a Tanzania'n citizen i have to say something.
Kuna siri kubwa ambazo hatuzijui, nchi ikiendeshwa kwa siasa asilimia kubwa ni uongo ndio utakaotawala maana ni personal interests zinatawala. Tusishangilie tukiona vitu vinaenda hivyo na pia hatuwezi kukaa kimya ila tusiwe tunaongea maneno ambayo hatuna uhakika nayo.
Hao wanaotaka Lowassa awajibishwe kwani alikuwa peke yake? alikuwa WM na amewajibika kwa kujiudhulu. sasa awajibike nini tena? kuna wabovu zaidi yake maana siasa ukiambiwa mchezo mchafu ni mchafu kweli wanaojua ni wale walioko kwenye siasa. we can't go back and start a fresh but wa can start now and make new beginning. Nafikiri kwa kosa hilo wote waliohusika wamejifunza.
Tatizo letu watanzania tunakosea kuchagua viongozi kwa sababu ya kudanganyishiwa peremende, we have to change, chagua mtu potential ambae unajua atasaidia wananchi na nchi yetu kwa ujumla na hii inahitaji elimu na sio kufuata upepo.
Mkuu pekundu hapo nakuaminia, mpigie tena muulize wamefikia wapi mpaka sasa?Wategemezi wetu wote wawili, kilewo na 16 wamesha sign off, hata hivyo nimeongea na mdau mmoja yuko pale nje ya ukumbi, amenijulisha game bado ni bila bila!.
.am a new member but am not a politician but since am a Tanzania'n citizen i have to say something.
Kuna siri kubwa ambazo hatuzijui, nchi ikiendeshwa kwa siasa asilimia kubwa ni uongo ndio utakaotawala maana ni personal interests zinatawala. Tusishangilie tukiona vitu vinaenda hivyo na pia hatuwezi kukaa kimya ila tusiwe tunaongea maneno ambayo hatuna uhakika nayo.
Hao wanaotaka Lowassa awajibishwe kwani alikuwa peke yake? alikuwa WM na amewajibika kwa kujiudhulu. sasa awajibike nini tena? kuna wabovu zaidi yake maana siasa ukiambiwa mchezo mchafu ni mchafu kweli wanaojua ni wale walioko kwenye siasa. we can't go back and start a fresh but wa can start now and make new beginning. Nafikiri kwa kosa hilo wote waliohusika wamejifunza.
Tatizo letu watanzania tunakosea kuchagua viongozi kwa sababu ya kudanganyishiwa peremende, we have to change, chagua mtu potential ambae unajua atasaidia wananchi na nchi yetu kwa ujumla na hii inahitaji elimu na sio kufuata upepo.
am a new member but am not a politician but since am a Tanzania'n citizen i have to say something.
Kuna siri kubwa ambazo hatuzijui, nchi ikiendeshwa kwa siasa asilimia kubwa ni uongo ndio utakaotawala maana ni personal interests zinatawala. Tusishangilie tukiona vitu vinaenda hivyo na pia hatuwezi kukaa kimya ila tusiwe tunaongea maneno ambayo hatuna uhakika nayo.
Hao wanaotaka Lowassa awajibishwe kwani alikuwa peke yake? alikuwa WM na amewajibika kwa kujiudhulu. sasa awajibike nini tena? kuna wabovu zaidi yake maana siasa ukiambiwa mchezo mchafu ni mchafu kweli wanaojua ni wale walioko kwenye siasa. we can't go back and start a fresh but wa can start now and make new beginning. Nafikiri kwa kosa hilo wote waliohusika wamejifunza.
Tatizo letu watanzania tunakosea kuchagua viongozi kwa sababu ya kudanganyishiwa peremende, we have to change, chagua mtu potential ambae unajua atasaidia wananchi na nchi yetu kwa ujumla na hii inahitaji elimu na sio kufuata upepo.
Wategemezi wetu wote wawili, kilewo na 16 wamesha sign off, hata hivyo nimeongea na mdau mmoja yuko pale nje ya ukumbi, amenijulisha game bado ni bila bila!.
.Mkuu Pasco,
Sio kweli kuwa UWT wameweka jicho JF 24/7 nakupa habari yenye uhakika 99% Kuna haja ya kutafuta mbinu nyingine ya kuwafanya washughulike. Hizi tunazopiga hapa ni kelele za Mlango................!
Latest ya mwisho toka Dodoma, kikao lomemalizika.
1. Kamati ya Mwinyi yaongezewa mwezi mmoja na kubadilishiwa hadidu za rejea.
2. Amina Mwakilagi na Mwanahamisi toka Zanzibar, wajumbe wapya wa NEC kuziba mapengo.
3. Wametoa ratiba zao za uteuzi ndani ya chama.
Laleni salama!
Latest ya mwisho toka Dodoma, kikao lomemalizika.
1. Kamati ya Mwinyi yaongezewa mwezi mmoja na kubadilishiwa hadidu za rejea.
2. Amina Mwakilagi na Mwanahamisi toka Zanzibar, wajumbe wapya wa NEC kuziba mapengo.
3. Wametoa ratiba zao za uteuzi ndani ya chama.
Laleni salama!
Latest ya mwisho toka Dodoma, kikao lomemalizika.
1. Kamati ya Mwinyi yaongezewa mwezi mmoja na kubadilishiwa hadidu za rejea.
2. Amina Mwakilagi na Mwanahamisi toka Zanzibar, wajumbe wapya wa NEC kuziba mapengo.
3. Wametoa ratiba zao za uteuzi ndani ya chama.
Laleni salama!
we are going back simply because we can not face an enemy who is right in front of us!
FMEs,
- Wakuu heshima mbele sana, sasa ni usiku sana wakulu wote wameenda kulala, shughuli zimekua nyingi sana lakini by kesho tutatafuta exactly kilichojiri huko ndani, ingawa nimeona kuna waliojaribu kuleta dataz za kikao, waletaji wa hizo dataz hawakuwa na sababu ya kusema wanazo kanda za kikao, that was a liitle over the board lete dataz tu JF we are very good at reading betweeen the lines, na at the end of the day jamani hawa ndio wananchi tunaowalilia kuwakomboa huu ni mkutano wa CCM jana tu!
- I mean think about it huu mkutano ni jana tu, sio mwaka juzi wakati Muungwana anaingia urais, ni jana tu baada ya bunge kumsafisha Lowassa, jamani tuna kazi kubwa ana ndefu sana mbele yetu, tusikate tamaa!
Respect.
FMEs!
we are going back simply because we can not face an enemy who is right in front of us!
......strategic retreatZamani wakati wa vita ulikuwa ukirudi nyuma (retreat) basi unapigwa risasi.
Hii ilikuja kuachwa siku Mrusi mmoja aliamuru Askari warudi nyuma na alipoulizwa kwenye mahakama ya kijeshi akawajibu "sikuwa narudi nyuma ila nilikuwa nikipigana aina ya vita iitwayo .......(nimesahau)......"
Ila siku hizi inafundishwa sana kuanzia kwenye Mpira hadi vitani kwenyewe. Ukiona mbele hakuendeki, basi unapiga tu kelele "Cover me" na unarudi nyuma na hapo unapiga goti na kuanza kumsaidia mwenzio. Kidogo kidogo mnarudi nyuma na kujiunda upya tayari kwa mashambulizi mengine...... (kikao cha saa moja cha Wapiganaji jana hapo Dodoma).
Hivyo Mkuu, hii inaruhusiwa sana na kuna shule yake nzito sana inafundishwa.