CCM ni wa ajabu sana

CCM ni wa ajabu sana

Mkuu huyu mleta mada atakuwa na faili MIREMBE. Anasema ni wajibu wa serikali kuwaletea wananchi maendeleo na hivyo hakuna sabau ya kutamba. Kwa akili ya kawaida sidhani kama kuna mtu anamuelewa anachokisema ni nini

Ukiwa book 7 huwezi kumuelewa, mimi nimemuelewa.

Tiba
 
Tarifa mbovu haina uthibitisho imebeba umbea mtupu bila hata chenga lakini ndiyo kazi mliyopewa bavicha na dj wenu endeleeni.

Hili ndilo tatizo la vilaza kama wewe.Yaani kila anayetoa maoni ya kukosoa mwenendo wa kinchi ni CHADEMA. Unaonekana ukiona CHADEMA viungo vinaachia
 
Tarifa mbovu haina uthibitisho imebeba umbea mtupu bila hata chenga lakini ndiyo kazi mliyopewa bavicha na dj wenu endeleeni.

Kupanga ni kuchagua kwa watu makini. Kipimo cha mtu makini ni jinsi anavyopanga matumizi yake. Wakati bado tunashule za kusomeshea watoto wetu kama hizi
ImageUploadedByJamiiForums1404887334.854198.jpg
Kisha unapanga kutumia shs Billioni 50 ili mkuu wa nchi aende kutembea nje na kufanya haya.
ImageUploadedByJamiiForums1404887567.893258.jpg
Ndio maana watu wanajiuliza jee chama kilichopewa dhamana ya kusimamia serikali kweli kinauwezo huo au chenyewe kimejikita kwenye kuburudishana tuu?
ImageUploadedByJamiiForums1404887751.384081.jpg


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Yaani mambo ya kimaendeleo yanayofanywa kwa wananchi wanayaona kama zawadi au fadhila. Siku ya uzinduzi waandishi watajazwa;hotuba za tambo zitatolewa na kadhalika. Mambo ya ajabu kabisa!

Hoja ni hizi. Mosi,kama chama tawala chenye Serikali yenye dhamana zote za mapato ya kiinchi,kuleta maendeleo ni wajibu wao wa lazima. Wananchi wapatiwe maji,umeme,shule,vivuko,barabara,hospitali na huduma nyinginezo kama haki yao na si fadhila.

Pili,hakuna uwiano mzuri kati ya rasilimali tulizonazo kama taifa;pato la taifa na maendeleo yanayopatikana. Wananchi hawaoni matumizi sahihi na ya kimaendeleo ya utajiri wa nchi hii. Hadi leo,baada ya miaka hamsini na mbili ya Uhuru,CCM na serikali yake inazindua shule ya sekondari au kisima halafu wanajitamba!?

Wanaita waandishi wa habari na kuwapatia bahasha ili watangaze kwenye TBC wamefanya hata waandishi wa habari wa TBC kama makatuni wanaripoti vitu visivyo na mshiko mfano mbio za mwenge huku watu tukitaabika na mifoleni barabarni Dar,
Wamejenga barabara chini ya kiwango mwananyamala, kimara hadi mjini dsm (barabara ya morogoro) gari mbili zinashindwa kwenda sambamba yaani ni nyembamba kiasi kwamba huwezi kukimbiza gari zaid ya speed 40, lakini utaona wanavyo msifia magufuri
 
Alafu wanajiona wana akili kweli, kumbe rubbish huku nchi ikiendelea kuteketea kwa udini na ukabila wanaouleta kwa kuendeleza kampeni za kidini, wanapoona ukristo wakiutumia una faida kwao wanautumia na wakiona uislam unafaida kwao wanautumia. Hawa wakupiga vita kama ukoma wanataka kuiangamiza nchi yetu.\

Napenda kuwasihi watanzania nawaombeni 2015 tusifanye makosa, Hawa niwakuondoa jamani hawana faida.
 
Umri wa uhuru hatukupaswa kuzindua visima na shule zakata kwa mbwembwe,uzinduzi wa mbwembwe kwa vitu hivyo ulipaswa ufanyike miaka ya 69,Leo tulipaswa kuzindua viwanda vikubwa vya kutengeneza Magari nk.Ccm yaleo mnazindua hata vijiwe vya kahawa,vijiwe vyakuzibia puncture na car wash.Hakiks ukiwa Ccm hauoni nadhani ni laana

Nilitaka kukupa kitufe cha like hakionekani!
 
Yaani mambo ya kimaendeleo yanayofanywa kwa wananchi wanayaona kama zawadi au fadhila. Siku ya uzinduzi waandishi watajazwa;hotuba za tambo zitatolewa na kadhalika. Mambo ya ajabu kabisa!

Hoja ni hizi. Mosi,kama chama tawala chenye Serikali yenye dhamana zote za mapato ya kiinchi,kuleta maendeleo ni wajibu wao wa lazima. Wananchi wapatiwe maji,umeme,shule,vivuko,barabara,hospitali na huduma nyinginezo kama haki yao na si fadhila.

Pili,hakuna uwiano mzuri kati ya rasilimali tulizonazo kama taifa;pato la taifa na maendeleo yanayopatikana. Wananchi hawaoni matumizi sahihi na ya kimaendeleo ya utajiri wa nchi hii. Hadi leo,baada ya miaka hamsini na mbili ya Uhuru,CCM na serikali yake inazindua shule ya sekondari au kisima halafu wanajitamba!?

Chama cha kisanii kinazalisha serikali ya kisanii na viongozi wasanii.
 
Ndiyo maana wameweka katimu chao cha mataahira humu kupinga kila kitu kinachosemwa na wananchi dhidi ya serikali.Wanadhani kila anayeelezea matatizo ya serikali ni Chadema.Lowest Thinking Capacity.Poor CCM.
 
Kujitapa kwa ccm ni sawa baba amnunulie binti yake chupi kesha aite waandishi kutangaza anavyomletea maendeleo....ebo!
 
Mkuu huyu mleta mada atakuwa na faili MIREMBE. Anasema ni wajibu wa serikali kuwaletea wananchi maendeleo na hivyo hakuna sabau ya kutamba. Kwa akili ya kawaida sidhani kama kuna mtu anamuelewa anachokisema ni nini

wewe ulitaka aseme vipi??!! kwamba serikali ya CCM kuwaletea wananchi maendeleo ni fadhila ama zawadi???!!! wewe ni mwenye akili mgando kama chama chako CCM. halafu nikiangalia kwa umakini nakuona wewe wala hakuna unachofaidi kuitetea CCM zaidi ya mchumia tumbo kwa kutupiwa vijisenti vya makombo kutoka kwa viongozi wala nchi wa CCM.
 
ccm ni chama cha wahuni na washenzi wakubwa mimi sina imani nao tena
 
Back
Top Bottom