Tokea kimeungana na majangili ya kisomali kwenye uongozi kimejishusha sana
Ndio, Ukilinganisha picha za mkutano wa CCM Arusha mjini na zile za Karagwe. Utasema hivi CCM is dead indeed. Nashauri CCM wajipange kuwa wapinzani, na wasipofanya hivyo, watatoweka kama UNIP na KANU.
nimeona kwenye mkutano wa geita wa ndani, wanachama walikuwa nanalalamika kuwa wanachekwa kwa sera, mikakati na uongozi mbovu wa watendaji wa serikali ambao ni makada wa ccm .Hii inaonyesha kuwa ccm haina lake ni kapu bovu
nimeona kwenye mkutano wa geita wa ndani, wanachama walikuwa nanalalamika kuwa wanachekwa kwa sera, mikakati na uongozi mbovu wa watendaji wa serikali ambao ni makada wa ccm .Hii inaonyesha kuwa ccm haina lake ni kapu bovu
Sijui kama kuna watu makini wanajua au wameshajua athari za kuandika CDM badala ya CHADEMA vs CCM. Nimeshtuka sana kuona wapiganaji makini kama molemo na wengine hapa akina fmpiganaji na wengine kibao, wengine hata wameanza kuandika makala kwenye mainstream media, kwa kutumia abbreviation hiyo ya CDM! Hivinkuna chama hicho Tanzania?
Nawaombeni watu makini wote tutumie abbreviation sahihi, CHADEMA. So superb. Nawatakia uwasilishaji mwema wa hoja na mijadala.
nipe matokeo ya uchaguzi mdogo wa madiwani kata 29 kote nchini. Ccm ilijizolea kata 22 tlp kata 1 cuf kata 1, cdm vikata vi5 kweli si kweli?
Dr Slaa mbona ueleweki naona unatapatapa ovyo. Wakati Kinana na Mangula, walivyoteuliwa ulisema wameletwa kuiba kura leo tena unakuja na habari mpya.
mbona kila siku unabakia kama ghofu? mada iliyopo mbele yetu ni ipi na wewe unajadili nn? kama huna cha kusema si ukae kimya?Matokeo yake kila uchaguzi CDM inagaragazwa vibaya!!
nitakimulika kiwanda hiki!Mtahangaika Sana, Jana Arusha niliona CCM hadi wanaenda kuchukua Wafanyakazi wa Kiwanda cha A to Z na nilipo muuliza mmoja wa wafanyakazi waliokuja na mabasi ya kiwanda alinijubu wao wamerazimishwa na malipo yao pekee ni kuto ingia night kwa siku moja,
Kiwanda Cha A to Z ndo kinaongoza kwa Kunyanyasa wafanyakazi Tanzznia, na sasa ndo nimejua ni kwa nini wale wahindi ni CCM damu damu
CCM tayari ni chama cha upinzani kwa sababu sasa hivi wanatekeleza sera za CHADEMA.
nitakimulika kiwanda hiki!