Lucas Mwashambwa ni mfia chama na masulupwete yake, sijaona akipandisha uzi wa kumsifia Isaac Madelu kwa makukumu yake ya kitaifa ya kazi za uchipukizi.Leo hii hii nchi ni mali ya familia na koo za wanaCCM.
Familia za akina Kikwete, Samia, Mwinyi Nyererere na hat akina Jenista Mhagama ndio wanarithishana madaraka ya nchi hii.
Wewe mpuuzi ambae huna mbele wala nyuma CCM ya nini kwako?