Chama cha Watanzania ni CCM, tulieni, Watanzania walio wengi ,na hawa wachache ni wa vyama vingine ambavyo zaid vipo kikanda au kiukoo mfano, wapemba wachaga na kadhalika.
Ifahamike inaposemwa kiukoo au kiukabila usiangalie viongozi zaidi angalia wafuasi na viongozi wao, wengi wanakuwa kutoka pembe moja ya nchi hizi.
CCM itaiongoza Tanzania kwa miaka mingi sana inayokuja pengine nyote au sote itakuwa tumeshaiwacha dunia ,hivyo tuendelee kuchapa kazi na kuachana na tamaa na maneno ya uchochezi na kuleta mifarakano, vyama vilivyopo kama nilivyosema kwanza havina wafuasi wa kweli,wananchi wa Tanzania sio watu wa fujo fujo ni mihemkoa ya kuchangamsha tu likipita limepita.
Ona kule, wafuasi wa Bob wayne, Raila unaweza kusema kule kuna wananchi wenye tabia za uthubutu na sio kwa Tanzania, WaTanzania ni wapenda amani sana sana kuliko maelezo, hivi vyama vichache ,eti sera za ubwabwa, pana siasa hapo ?
Vyama havidai tume ya uchaguzi mpaka uchaguzi kesho, mna wazimu ? Si mnalidanganya kundi lenu na wafuasi wenu tu, ili miradi yenu ifanikiwe.
Tunaona CCM tunavyoimarisha umoja baina ya wananchi, sasa waTanzania walio wengi wameanza kuona mwangaza wa Uongozi waliokuwa na tunu nao kwa miaka mingi na vyama vile vimebaki na wenyeviti na meza tu huku uraiani wanazidi kukimbiwa na kuhofiwa kama virusi vya corona..
Ifahamike inaposemwa kiukoo au kiukabila usiangalie viongozi zaidi angalia wafuasi na viongozi wao, wengi wanakuwa kutoka pembe moja ya nchi hizi.
CCM itaiongoza Tanzania kwa miaka mingi sana inayokuja pengine nyote au sote itakuwa tumeshaiwacha dunia ,hivyo tuendelee kuchapa kazi na kuachana na tamaa na maneno ya uchochezi na kuleta mifarakano, vyama vilivyopo kama nilivyosema kwanza havina wafuasi wa kweli,wananchi wa Tanzania sio watu wa fujo fujo ni mihemkoa ya kuchangamsha tu likipita limepita.
Ona kule, wafuasi wa Bob wayne, Raila unaweza kusema kule kuna wananchi wenye tabia za uthubutu na sio kwa Tanzania, WaTanzania ni wapenda amani sana sana kuliko maelezo, hivi vyama vichache ,eti sera za ubwabwa, pana siasa hapo ?
Vyama havidai tume ya uchaguzi mpaka uchaguzi kesho, mna wazimu ? Si mnalidanganya kundi lenu na wafuasi wenu tu, ili miradi yenu ifanikiwe.
Tunaona CCM tunavyoimarisha umoja baina ya wananchi, sasa waTanzania walio wengi wameanza kuona mwangaza wa Uongozi waliokuwa na tunu nao kwa miaka mingi na vyama vile vimebaki na wenyeviti na meza tu huku uraiani wanazidi kukimbiwa na kuhofiwa kama virusi vya corona..