ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 956
- 1,878
- Thread starter
- #41
Hebu tupe mawazo yako yakhe...sio kweli. hayo ni maono hafifu juu ya umasikini wa Mtanzania
Hebu tupe mawazo yako yakhe...sio kweli. hayo ni maono hafifu juu ya umasikini wa Mtanzania
Hebu tupe mawazo yako yakhe...
Acha nukuu za kijinga. Hao uliowanukuu nchi zao zina Elimu bora, afya bora, miunndombinu bora, maji safi na salama, umeme wa uhakika, uhuru wa maoni na habari, mgawanyo wa madaraka kwa serikali bunge na mahakama. Hayo yote ni kinyume kwa Tz. Kama hauoni uhusiano wa haya niliyofafanua na umaskini wa watanzania, basi una laana ya CCM.![]()
![]()
hizo mentality mbili hapo juu, kingeingizwa vizuri vichwani mwetu tangu uhuru CCM isingelaumiwa.
![]()
Msisitizo mkubwa ungewekwa hapa, pia mambo yangependeza zaidi.
mtanzamo wangu.
umeomba mtazamo nimekupa. malalamiko mengine sidhani kama nahusika mkuu.Acha nukuu za kijinga. Hao uliowanukuu nchi zao zina Elimu bora, afya bora, miunndombinu bora, maji safi na salama, umeme wa uhakika, uhuru wa maoni na habari, mgawanyo wa madaraka kwa serikali bunge na mahakama. Hayo yote ni kinyume kwa Tz. Kama hauoni uhusiano wa haya niliyofafanua na umaskini wa watanzania, basi una laana ya CCM.
pili kabla haujakimbilia kuilaumu CCM...Acha nukuu za kijinga. Hao uliowanukuu nchi zao zina Elimu bora, afya bora, miunndombinu bora, maji safi na salama, umeme wa uhakika, uhuru wa maoni na habari, mgawanyo wa madaraka kwa serikali bunge na mahakama. Hayo yote ni kinyume kwa Tz. Kama hauoni uhusiano wa haya niliyofafanua na umaskini wa watanzania, basi una laana ya CCM.
Acha kulalamika lalamika fanya kazi, 2015-2020 and 2020- 2025 kama hufanyikazi utakuwa MZIGO TU, acheni siasa za vijiweni.CCM wametuletea UMASIKINI watanzania.
CCM ni chanzo cha UMASIKINI hapa Tanzania.Acha kulalamika lalamika fanya kazi, 2015-2020 and 2020- 2025 kama hufanyikazi utakuwa MZIGO TU, acheni siasa za vijiweni.
Unaumri gani? maan nisikuwa napoteza mda tuu hapaCCM ni chanzo cha UMASIKINI hapa Tanzania.
Ua so stupid...n what's ua asking is apparently nonsenseUnaumri gani? maan nisikuwa napoteza mda tuu hapa
Kumbe upo O level bado?
Usikatae wala usipingane na ukweli bandari pekee ilitosha kabisa kuleta maendeleo makubwa kabisa lakin sasa duh kila mwana CCM anae ingia madarakani anajifanyia yake na sio ya wananchi ndio maana saiz masela wa GRACE MUGABE wameenda mbali na kuamua kutumia jina la waziri mrefu kuliko wote ili mzigo upite bila kodi.hahaaaa CCM !!! ESCROW,DOWANS,LUGUMI, KATIBA MPYA ,IPTL,MEREMETA,RICHMOND .......... ................ .........,, ..,..........,endeleza list , hahahaaaaaa unadhani hayo mabilion yaliyo potea huko kote yangeelekezwa kujenga ahule za kisasa , hospitali za kisasa, miundo mbinu ya maji jee kama taifa lingekuwa wapi???Umasikini ni wakwako mkuu na mawazo yako mganDO
Hawana mbinu tena kabis kwa sasa zaidi ya kuwatumia polisi na tume ambao kwa sasa ndiomateka waoCCM siku zao zimekwisha wale wazee walio kuwa waki wapigia kura nao wameisha, kwa hiyo wamekuja na elimu nyigine ya wizi wa kura , kufanya virugu kwenye chaguzi huku waki wasingizia vyama vya upinzani kuwa ndivyo vinavyo fanya vurugu, wana watumia polisi ambao wameshindw kuwa jengea nyumba za kuishi, polisi ambao bado wanaishi kwenye nyumba zilizo jengwa enzi za ukoloni kwenye miaka 1939, tena ni aibu eti wanasubiri zipatwe na majanga kama ya moto ndo wapite kwa wananchi maskini walio wabana kwa kila aina kodi ili wachangie kwenye bakuli lao la omba omba. Aibu kubwa
Least Developed Country kwa viwango vya UN , halafu unaongea pumba hapaUmasikini ni wakwako mkuu na mawazo yako mganDO
Am so glad to hear that, actual u gave me da chance to knw, am dealing with the most stupid and sill oneUa so stupid...n what's ua asking is apparently nonsense
Can u clarify to me pls, how is ua qn related to what I hv just written?
Data za mwaka gani? Lete pia blog au web hapa, acha siasa za kitotoLeast Developed Country kwa viwango vya UN , halafu unaongea pumba hapa
Unatofautishaje umaskini wa Mtanzania na CCM?pili kabla haujakimbilia kuilaumu CCM...
jiulize kwa nini haya malalamiko yapo kila mahala ambapo yupo mtu mweusi.
nenda carribean, nenda wanapoishi wamarekani weusi na tabia zao, nenda kwingineko duniani ambapo kuna jamii ya watu weusi wengi matatizo yao yanafanana.
unaweza kupata jukwaa zuri la kujua chanzo cha matatizo yako na nchi yako bila mihemko ya kisiasa.
Yap yap chief...back again, what's the connection btn my age n this thread?Am so glad to hear that, actual u gave me da chance to knw, am dealing with the most stupid and sill one
Da qn was vry simple state ur AGE dat all
Bt i do wander wat u asnwered.
We will never go forward if da courty has stupid ppl like u.Bt SORRY for ur stupidness
Kwa hiyo CCM kazi yenu.kubwa ni kututia umaskini mpaka tufanane na hizo.nchi ulizotaja?Pumbafu.hivi burundi,Zambia ,Malawi na nyingine zote zinazotuzunguka kusini mwa jangwa sahara ni matajir?humu wahuni ni wengi.