ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 956
- 1,878
Chama Cha Mapinduzi (CCM), ndicho chama kongwe barani Afrika kilichosababisha umaskini kwa wananchi wengi nchini Tanzania. Sababu ni hizi:-
1. Elimu/maarifa/stadi duni kwa wananchi. Hivyo kuwafanya washindwe kuyamudu maisha na mazingira yao.
2. Huduma duni za afya, nguvu kazi inapotea kwa vifo.
3. Ukosefu wa maji safi na salama, kunazorotesha afya za wananchi na kusababisha magonjwa mbalimbali, kwani 70% ya mwili wa binadamu ni maji.
4. Ukosefu wa vyanzo bora vya umeme (mgao). Hivyo kushusha jitihada za wananchi kuzalisha mali.
5. Miundo mbinu duni ya barabara kwa wananchi wengi ambao 80% wanaishi vijijini. Usafirishaji wa bidhaa, mazao na watu umezoroteshwa.
6. Kilimo duni cha jembe la mkono, kunakopelekea uhaba wa chakula na kushuka kwa kilimo biashara.
7. Ukosefu wa demokrasia ya kweli, yenye kuruhusu uhuru wa mawazo na habari, ambavyo ni njia muafaka ya kukuza ubunifu na kupashana habari. Uchakachuaji wa chaguzi mbali mbali na kupelekea kupata viongozi wabovu (dhaifu na madikteta)
8. Rushwa, Ufisadi na kujichotea pesa kienyeji bila idhini ya bunge, kisha kuzipeleka kusikostahili, kama kujenga international airport kijijini, ili hali kuna uhaba wa madawa hospitali.
CCM Mungu anawaona.
1. Elimu/maarifa/stadi duni kwa wananchi. Hivyo kuwafanya washindwe kuyamudu maisha na mazingira yao.
2. Huduma duni za afya, nguvu kazi inapotea kwa vifo.
3. Ukosefu wa maji safi na salama, kunazorotesha afya za wananchi na kusababisha magonjwa mbalimbali, kwani 70% ya mwili wa binadamu ni maji.
4. Ukosefu wa vyanzo bora vya umeme (mgao). Hivyo kushusha jitihada za wananchi kuzalisha mali.
5. Miundo mbinu duni ya barabara kwa wananchi wengi ambao 80% wanaishi vijijini. Usafirishaji wa bidhaa, mazao na watu umezoroteshwa.
6. Kilimo duni cha jembe la mkono, kunakopelekea uhaba wa chakula na kushuka kwa kilimo biashara.
7. Ukosefu wa demokrasia ya kweli, yenye kuruhusu uhuru wa mawazo na habari, ambavyo ni njia muafaka ya kukuza ubunifu na kupashana habari. Uchakachuaji wa chaguzi mbali mbali na kupelekea kupata viongozi wabovu (dhaifu na madikteta)
8. Rushwa, Ufisadi na kujichotea pesa kienyeji bila idhini ya bunge, kisha kuzipeleka kusikostahili, kama kujenga international airport kijijini, ili hali kuna uhaba wa madawa hospitali.
CCM Mungu anawaona.