Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,837
- 50,541
Na wewe staafu kama rafiki yako Mkuchika!!Hapo Chadema Mboe kamnunia mrithi wake 😄
Ni uvivu wa kulima tu....Ndugai anaenda bungeni kutafuta nn alichoshindwa kukitekrleza ????
Hii ndiyo hoja ya Polepole😆😀😃Ndugai anaenda bungeni kutafuta nn alichoshindwa kukitekrleza ????
Huu uchaguzi wa ndani ndugai lazima atamzimisha mtu 😄Ndugai anaenda bungeni kutafuta nn alichoshindwa kukitekrleza ????
Watengeneze ulingo wa masumbwi kila walipodhulumiana mshindi wa ulingoni ndiye mshindi wa kweli.Kila kona ya Tanzania yanasikika mayowe ya wana CCM kutuhumiana kudhulumiana huku wakirusha lawama kwa CHADEMA kwa nini hawashiriki uchaguzi na kusababisha dhuluma iwe kubwa ndani ya CCM.
Tulipowaambia NO REFORMS NO ELECTION mlitubeza. Hatutaingilia ugomvi wenu wa wanandugu!!
Alisahau hirizi pale kwenye dro ya hanzadNdugai anaenda bungeni kutafuta nn alichoshindwa kukitekrleza ????
Nilijua alipoenda Galilaya,ndio yangekuwa makazi ya baada ya kustaafishwa kwa manufaa ya umma.Alisahau hirizi pale kwenye dro ya hanzad
Kila kona ya Tanzania yanasikika mayowe ya wana CCM kutuhumiana kudhulumiana huku wakirusha lawama kwa CHADEMA kwa nini hawashiriki uchaguzi na kusababisha dhuluma iwe kubwa ndani ya CCM.
Tulipowaambia NO REFORMS NO ELECTION mlitubeza. Hatutaingilia ugomvi wenu wa wanandugu!!
Mzigo huo wanitafute vinginevyo atawavunja mafuvu ya vichwa vyaoHuu uchaguzi wa ndani ndugai lazima atamzimisha mtu 😄
Ushauri tu kwa wanaochuana naye wawe wanavaa helmet ⛑️
😄
Ova
Kabisa... Wakipatana wanakugeuka...Marufuku kuingilia ugomvi wa ndugu
Iwapo anatembea na mkongojo wa ukague kama sii bisu ama bakora,historia ianaonyesha aliwahi kuwa na bakora,na mpinzanzani alikula ya fuvu.Mzigo huo wanitafute vinginevyo atawavunja mafuvu ya vichwa vyaoView attachment 3429395View attachment 3429396View attachment 3429397
We hujui ubunge ni ajiraNdugai anaenda bungeni kutafuta nn alichoshindwa kukitekrleza ????