Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 44
Pamoja na kuwa Dr Slaa anapendwa na watanzania wengi mno na anayetarajia kuwa rais hivi karibuni, CCM wako na harakati za kutumia kila mbinu mbaya ikiwemo kampeni za vitisho vya vita, udini n.k. CCM hawataki kushindwa, wamezoea kubugia mali za watanzania bila kucheua. CCM wanafanya mambo kama alivyosema Nyerere kuwa ukizoea ''kula nyama ya mtu huachi, unataka uendelee tu''.