amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 731
- 1,267
Habari wadau,
Kwanza nianze na pole kwa ndugu zetu wa upinzani kwani kwani siasa ni sawa na mpira wa miguu yaani kuna kushinda na kufungwa.
Katika chaguzi hizi ndogo naimani kuwa vyama vya upinzani watakua wamepata somo ni njia gani sahihi ya kupambana na mpinzani wao CCM.
Kwenye chaguzi hizi vyama vya upinzani waliingia na sera ya kumponda MTU badala ya kuuza sera zao kwa wananchi.
Nimesikitishwa jamaa mmoja wa upinzani kutwa kucha alikua akimponda RAIS kana kwamba kulikua hamna Sera za maana za kunadi chama chake hivyo kusababisha chama chake kupata kura nane (8) jimbo zima hii ni aibu kubwa.
Nawaomba wapinzani mbadilike kwani wananchi wanahitaji maendeleo sio majungu ya kisiasa mnayo yatumia.
Nilifurahishwa na uzi mmoja ulisema UCHAGUZI MDOGO NDO KIPIMO KWA CCM. huenda aliyeandika uzi huu aliongozwa na itikadi za kichama zaidi kuliko uhalisia.
Imefika kipindi hata wapinzani wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani hii ni hatari na ni ngumu kuja kuiangusha CCM.
Siasa ni sera sio kelele zisizo za msingi.
Kwanza nianze na pole kwa ndugu zetu wa upinzani kwani kwani siasa ni sawa na mpira wa miguu yaani kuna kushinda na kufungwa.
Katika chaguzi hizi ndogo naimani kuwa vyama vya upinzani watakua wamepata somo ni njia gani sahihi ya kupambana na mpinzani wao CCM.
Kwenye chaguzi hizi vyama vya upinzani waliingia na sera ya kumponda MTU badala ya kuuza sera zao kwa wananchi.
Nimesikitishwa jamaa mmoja wa upinzani kutwa kucha alikua akimponda RAIS kana kwamba kulikua hamna Sera za maana za kunadi chama chake hivyo kusababisha chama chake kupata kura nane (8) jimbo zima hii ni aibu kubwa.
Nawaomba wapinzani mbadilike kwani wananchi wanahitaji maendeleo sio majungu ya kisiasa mnayo yatumia.
Nilifurahishwa na uzi mmoja ulisema UCHAGUZI MDOGO NDO KIPIMO KWA CCM. huenda aliyeandika uzi huu aliongozwa na itikadi za kichama zaidi kuliko uhalisia.
Imefika kipindi hata wapinzani wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani hii ni hatari na ni ngumu kuja kuiangusha CCM.
Siasa ni sera sio kelele zisizo za msingi.