Fukua
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 546
- 479
Wavuruga amani ni:
Wale wanaokosoa kwa matusi, wanaotugawa utanzania wetu kikabila, kikanda,kidini, huyu ni mzanzibar na huyu ni mtanganyika n.k.
Wanaopinga Kila jambo jema kwa nchi yetu mfano huu mkataba wa Tz na DP World kuhusu bandari zetu.
Wanaoshambulia hoja wasizozipenda kwa matusi makubwa hadharani na huku mitandaoni.
Wanaokashfu na kuibagaza serikali na raisi wetu kwa uongo na ulaghai, maana wanahatarisha usalama wa nchi kwa kuzua taharuki kwa wananchi.
Na wengine wafananao na hao.
Nchi yetu ni huru na Ina uhuru wa kutosha kabisa Sasa kama uhuru wetu unatupelekea kukosa heshima na ustaarabu basi ni uhuru usiofaa hata kidogo.
Ni waombe watanzania hasa wa kwenye mitandao tujadiliane hoja kwa hoja na kistaarabu. Maana unapotukana watu hovyo kwenye mitandao siku sheria zikichukuliwa dhidi Yako utabaki peke yako
Nina ipongeza CCM na viongozi wake kwa uvumili mkubwa kwa baadhi ya watz wapenda matusi, vurugu na ujinga ujinga wa kutosha. Miaka zaidi ya 60 SI mchezo.
CCM oyee
Mama anaupiga mwingi na nchi imefunguka.
Wale wanaokosoa kwa matusi, wanaotugawa utanzania wetu kikabila, kikanda,kidini, huyu ni mzanzibar na huyu ni mtanganyika n.k.
Wanaopinga Kila jambo jema kwa nchi yetu mfano huu mkataba wa Tz na DP World kuhusu bandari zetu.
Wanaoshambulia hoja wasizozipenda kwa matusi makubwa hadharani na huku mitandaoni.
Wanaokashfu na kuibagaza serikali na raisi wetu kwa uongo na ulaghai, maana wanahatarisha usalama wa nchi kwa kuzua taharuki kwa wananchi.
Na wengine wafananao na hao.
Nchi yetu ni huru na Ina uhuru wa kutosha kabisa Sasa kama uhuru wetu unatupelekea kukosa heshima na ustaarabu basi ni uhuru usiofaa hata kidogo.
Ni waombe watanzania hasa wa kwenye mitandao tujadiliane hoja kwa hoja na kistaarabu. Maana unapotukana watu hovyo kwenye mitandao siku sheria zikichukuliwa dhidi Yako utabaki peke yako
Nina ipongeza CCM na viongozi wake kwa uvumili mkubwa kwa baadhi ya watz wapenda matusi, vurugu na ujinga ujinga wa kutosha. Miaka zaidi ya 60 SI mchezo.
CCM oyee
Mama anaupiga mwingi na nchi imefunguka.