Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,917
- 831,341
Siku hizi kuna press conference karibia kila siku za mikoa mbalimbali za viongozi wa CHADEMA mikoani kukikimbia chama cha CHADEMA...
Jamani hata kama chama hakipendwi mbona huu utaratibu umenyooka sana na uko so systimastically!? Yaani unaona kabisa ni script za kuandaliwa😂😂😂
Halafu sasa sababu wanazotoa ni full vichekesho.. Yaani CCM imeishiwa... I me hang any I kiss mpaka mambo inayofanya Nata mtoto mdogo anawashangaa na kuwacheka
Hizi script za sasa ni baada ya ile ya G55 kufemea vibaya sana. Haikuchelewa kujulikana kwamba asilimia 95 ni watani zangu wachaga. Hili lilikuwa bonge moja la kosa la kimkakati
Sasa wakaja na plan B ya kurekebisha kosa la kwanza.. Viongozi wa mikoa mbalimbali kuhama chama
Cha kujiuliza ni hiki.
Mbona wanahama viongozi tu bila wanachama wowote!?😂😂😂 halafu wote kwa press conference mahususi? Zinazorushwa na chombo kilekile🤔🤣
CCM maji ya shingo na mfa maji haachi kutapatapa
Jamani hata kama chama hakipendwi mbona huu utaratibu umenyooka sana na uko so systimastically!? Yaani unaona kabisa ni script za kuandaliwa😂😂😂
Halafu sasa sababu wanazotoa ni full vichekesho.. Yaani CCM imeishiwa... I me hang any I kiss mpaka mambo inayofanya Nata mtoto mdogo anawashangaa na kuwacheka
Hizi script za sasa ni baada ya ile ya G55 kufemea vibaya sana. Haikuchelewa kujulikana kwamba asilimia 95 ni watani zangu wachaga. Hili lilikuwa bonge moja la kosa la kimkakati
Sasa wakaja na plan B ya kurekebisha kosa la kwanza.. Viongozi wa mikoa mbalimbali kuhama chama
Cha kujiuliza ni hiki.
Mbona wanahama viongozi tu bila wanachama wowote!?😂😂😂 halafu wote kwa press conference mahususi? Zinazorushwa na chombo kilekile🤔🤣
CCM maji ya shingo na mfa maji haachi kutapatapa