CCM na ndoto za Mchana

CCM na ndoto za Mchana

nganasyo

Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
13
Reaction score
1
asilimia kubwa ya wabunge wa ccm wanamini kuwa wananchi wengi hawajui kinacho endelea ndani ya nchi yao!
wanafikiri ni walewale wa 1947,wakati wengi wao tunafahamu hata upeo wao wa kifikra tangu wakiwa shuleni,
naamini wakati utawaumbua!wajue watanzania wengi mijini na vijijini kwa sasa wanauelewa mkubwa kuliko wanavyofikiria,nawapeni pole sana wanachoamini ni sawa na ndoto za mchana!
 
wabunge wa vyama vya upinzani wametoka nje ya bunge, wabunge wanaobaki (mara nyingi huwa wa CCM) huacha kujadili hoja iliyopo mezani na kujikita kuwajadili wabunge waliotoka nje mathalani hutokea around 70% ya muda huwajadili wabunge walio-walk out. Ku-walk out si kitendo kigeni kwa sasa duniani kote hususan kwenye mabunge yenye muelekeo wa kikandamizaji na si kosa kikanuni na siwalaumu wabunge wanaotoka nje bali nawalaumu hao waliobaki wanapopoteza muda. nauita huu ni double victory kwa wabunge waliotoka
 
wabunge wengi wa magamba dozi za arv's zinawavuruga vichwa.
 
Akili ndogo kuongoza akili kubwa.....Hawana cha kujadili zaidi ya hicho cha kuwajadili Wabunge walio mlengo tofauti na wao....Ulitegemea usikie nini kutoka kwa MP Nkamia?
 
wabunge wa vyama vya upinzani wametoka nje ya bunge, wabunge wanaobaki (mara nyingi huwa wa CCM) huacha kujadili hoja iliyopo mezani na kujikita kuwajadili wabunge waliotoka nje mathalani hutokea around 70% ya muda huwajadili wabunge walio-walk out. Ku-walk out si kitendo kigeni kwa sasa duniani kote hususan kwenye mabunge yenye muelekeo wa kikandamizaji na si kosa kikanuni na siwalaumu wabunge wanaotoka nje bali nawalaumu hao waliobaki wanapopoteza muda. nauita huu ni double victory kwa wabunge waliotoka

Hiyo ni sehemu ya mjadala mkuu,acha ushabiki wa kijinga, watu wanachezea kodi zetu tunaona hivihivi wamefanya kama mchezo sasa.
 
Akili ndogo kuongoza akili kubwa.....Hawana cha kujadili zaidi ya hicho cha kuwajadili Wabunge walio mlengo tofauti na wao....Ulitegemea usikie nini kutoka kwa MP Nkamia?

Hao waliotoka nje wao wamekwenda kujadili nini huko na kuacha hoja ndani?
 
Hawaja kubaliana na mwenendo mzima wa mswada wa katiba na wao wapo wachache ndani magamba wapo wengi na wengi wao akili zero ubabe tu
 
Hiyo ni sehemu ya mjadala mkuu,acha ushabiki wa kijinga, watu wanachezea kodi zetu tunaona hivihivi wamefanya kama mchezo sasa.

Nadhani tafsiri halisi ya demokrasia bado haijakuingia
 
wamekwenda kufunga ndoa ya mkeka huko nje ili wakirudi watararuana na luga ya uliberali
 
Kila ujinga unaofanywa na viongozi wa nchi hii utawekwa kweupe kabla ya 2015....ili wananchi wajue na kutorudia makosa tena.
 
chama hiki ni MAJANGA kwa Tanzania tunahitaji kukitoa kabisa kife kama KANU, ZANU na babake TANU
 
nimejaribu kuelewa unachotaka kutuambi alakini nimeshindwa inabidi nitafute mwalimu wa lugha zisizoeleweka anisaidie kupata gist ya huu uzi, otherwise jukwaa la utani ndio mahali pake sahihi
 
Hiyo ni sehemu ya mjadala mkuu,acha ushabiki wa kijinga, watu wanachezea kodi zetu tunaona hivihivi wamefanya kama mchezo sasa.

Mchezo gani wewe? sasa hao magamba siwangejadili mjadala uliopo mezani? kwani kilichokuwa mezani ni wabunge waliotoka nje? Naona wewe bado haujakombolewa kifikra... lkn utakuja kujua tu baadaye, kwani hata zamani tulipokuwa wadogo tulikuwa tukiambiwa watoto wadogo wananunuliwa sokoni
 
nimejaribu kuelewa unachotaka kutuambi alakini nimeshindwa inabidi nitafute mwalimu wa lugha zisizoeleweka anisaidie kupata gist ya huu uzi, otherwise jukwaa la utani ndio mahali pake sahihi


Mbona kila kitu kinaeleweka vizuri tu au mambo ya sembe?
 
nimejaribu kuelewa
unachotaka kutuambi alakini nimeshindwa inabidi nitafute mwalimu wa
lugha zisizoeleweka anisaidie kupata gist ya huu uzi, otherwise jukwaa
la utani ndio mahali pake sahihi

haujaelewa nini sasa hapo ili tukusaidie au na wewe utakuwa hamnazo kama wale wabunge wa magamba wauza sembe.
 
Back
Top Bottom