Hao nje ya Muungano, watakuwa kama Comoro, watagawanyika na kuunda shirikisho lao au mwaarabu atawatawala, maana wanawathamini sana waarabu.i think ni best time wazanzbar wawe huru, nao ni binadaam, wana mawazo yao, wanajua nini wanataka, tusiwabane guys.
wawe huru, watengeneze vyama vyao, muundo wa serikari wanaoutaka wao,sheria wanazozihitaji wao nk. na sio watu from somewhere ndo wawapangie mifumo.
waacheni wazanzibar jamani wawe huru, hii muungano thing inawanyima uhuru wa kujiamulia mambo yao. Hata wakitaka watengane na tanganyika waungane na arabs au nchi yoyote ni sawa tu mbona ccm mnakua hivoo? wapeni uhuru wao bana
ulishawahi kujiuliza wale wanajeshi Wa JWTZ na TISS pale KMKM wanafanya nn haswa? kaa nalo hiloBila CCM hakuna Zanzibar
Mawazo ya Wapemba wawili watatu siyo Mawazo ya Wazanzibar wote
Na kabla ya CCM Zanzibar haikuwepo.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bila CCM hakuna Zanzibar
Mawazo ya Wapemba wawili watatu siyo Mawazo ya Wazanzibar wote
Sultan alikuwa bado ana Jambo lake 😂😂😂😂Na kabla ya CCM Zanzibar haikuwepo.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Usiseme sultani sema Mjomba wetuuuu!!!Sultan alikuwa bado ana Jambo lake 😂😂😂😂
Wakipanua tu midomo yao Muungano kwishinei!Halafu huku Tanganyika watu fulani wanamoinga Tundu Lissu.. Mbona huko Zenji hawakemewi kwa maneno hayo wanayotoa kwenye mihadhara yao?
CCM NI MKOLONI MWEUSIWazanzibari kwa umoja wao wanataka utaifa wao utambulike kimataifa, wanataka sarafu yao, wanataka makabila yao na wanataka ardhi yao.
Wazanzibari wanataka Zanzibar na siyo Dodoma na wanataka vyama vyao vya kisiasa na siyo hivi vya kubambikiwa.
Wazanzibari wanataka uhuru wao! Hamsikii?
View attachment 2983186
Uhuru gani mnataka. Wenye kutaka uhuru ni wale wajinga na vibaraka wanaofikiri wao ni waarabu.. Hamuendi popote nyie waulizeni babu zenu kama nyie sio wandengereko wazaramo wangoni na wamatumbi. Tuwaachie kisha mtuhujumu uchumi kama kenya wanavyofanya? Ng'o hamuendi popote nyie.Wazanzibari kwa umoja wao wanataka utaifa wao utambulike kimataifa, wanataka sarafu yao, wanataka makabila yao na wanataka ardhi yao.
Wazanzibari wanataka Zanzibar na siyo Dodoma na wanataka vyama vyao vya kisiasa na siyo hivi vya kubambikiwa.
Wazanzibari wanataka uhuru wao! Hamsikii?
View attachment 2983186
Sawa ila hawaitaki CCM wala Dodoma kuwaamulia mambo yao ya ndani!Uhuru gani mnataka. Wenye kutaka uhuru ni wale wajinga na vibaraka wanaofikiri wao ni waarabu.. Hamuendi popote nyie waulizeni babu zenu kama nyie sio wandengereko wazaramo wangoni na wamatumbi. Tuwaachie kisha mtuhujumu uchumi kama kenya wanavyofanya? Ng'o hamuendi popote nyie.
Zanzibar lazima iwe huru!Uhuru gani mnataka. Wenye kutaka uhuru ni wale wajinga na vibaraka wanaofikiri wao ni waarabu.. Hamuendi popote nyie waulizeni babu zenu kama nyie sio wandengereko wazaramo wangoni na wamatumbi. Tuwaachie kisha mtuhujumu uchumi kama kenya wanavyofanya? Ng'o hamuendi popote nyie.
Nikuambie Kitu kwa akili za wazanzibar tukiwaacha wakabaki peke yao nakuambia watatengana visiwa wale jamaa.i think ni best time wazanzbar wawe huru, nao ni binadaam, wana mawazo yao, wanajua nini wanataka, tusiwabane guys.
wawe huru, watengeneze vyama vyao, muundo wa serikari wanaoutaka wao,sheria wanazozihitaji wao nk. na sio watu from somewhere ndo wawapangie mifumo.
waacheni wazanzibar jamani wawe huru, hii muungano thing inawanyima uhuru wa kujiamulia mambo yao. Hata wakitaka watengane na tanganyika waungane na arabs au nchi yoyote ni sawa tu mbona ccm mnakua hivoo? wapeni uhuru wao bana
Ni haki Yao kuwa kama Comoro au vyovyote watakavyo. Kama wanataka muarabu ni haki Yao, nani kakuambia wanatutaka sisi wabantu?Hao nje ya Muungano, watakuwa kama Comoro, watagawanyika na kuunda shirikisho lao au mwaarabu atawatawala, maana wanawathamini sana waarabu.
Hawajioni kama wao ni Binadamu, bila uwepo wa mwarabu.