Akili iliyofikia Menopause ni hatari sana, Kwani wenye uwezo wa kupiga picha na kuziweka hapa ni Pro-CDM peke yao?...Nilitegemea ninyi vijana wa Nape na Lameck ndo mngekuwa wa kwanza kutuwekea picha za kutuonyesha umati wa watu waliohudhuria mikutano yenu mkuu...au ma-lorry haya kupewa mafuta?...