golden pride
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 847
- 435
Wakuu heshima zenu.
Kwa haya mambo yanayoendelea sasa na dhahiri shahiri kuwa mwisho wa hawa jamaa umefika.Haiwezekani kila nyanja kila kitu mkoroganyiko, mi naumia sana na ctaki hata kulisikia hilo neno CCM.Mpango mzima unaanza mwezi ujao pale tutakapowapiga bao la lala salama ndani ya dakika tisini.Halafu mwakani tunawapiga nyingi dakika za mwanzoni.
Nadhani mmenielewa, pamoja daima
Kwa haya mambo yanayoendelea sasa na dhahiri shahiri kuwa mwisho wa hawa jamaa umefika.Haiwezekani kila nyanja kila kitu mkoroganyiko, mi naumia sana na ctaki hata kulisikia hilo neno CCM.Mpango mzima unaanza mwezi ujao pale tutakapowapiga bao la lala salama ndani ya dakika tisini.Halafu mwakani tunawapiga nyingi dakika za mwanzoni.
Nadhani mmenielewa, pamoja daima