CCM Mtarejeshaje Gharama Hizi?

CCM Mtarejeshaje Gharama Hizi?

Chademakwanza

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
6,346
Reaction score
1,872
Kama mtangaza nia wenu mmoja kesho kutwa atatumia zaidi ya bil moja na mnawatangaza nia 23 bado wabunge Wa nchi nzima.


Waziri mkuu aliyejiengua Kwa Kashfa ya Ufisadi Edward Lowasa anayetafuta urais kwa nguvu na Kwa gharama yoyote, ameamua kupitia makampuni yake na marafiki wake wa siri, jumamosi atatumia mil 900 ili kusafirisha, walimu, kulipa waandishi wa habari na magazeti au vyombo vyao, wanafunzi wa vyuo 200 na bodaboda 1000 kumsapoti.

Kampuni hayo ambayo hata kodi yake ni ya mashaka yanachapisha tshirt, vipeperushi na matangazo ya kila namna...ambazo baadhi zimeandikwa maamzi, simama uhesabiwe na baadhi zikiwa na picha ya jambazi hilo huku nyuma kukiwa na Bendera ya Taifa)


Aidha sijajua sheria ya uchaguzi juu ya matumizi mabaya au makubwa ya fedha kwa kutangaza kuchukua fomu tu bado wajumbe wa cc na NEC ambao wameandaliwa bil 50 kwa ajili kikao tu cha kumpitisha.


Kila atakayehudhuria atapewa stika na kila siku magazeti, wahariri, waandishi na tv watafanyakazi ya kumnadi Lowassa.

Kampuni yake ya Monaban ambayo imepewa kazi ya kushughulikia walimu, madaktari na watumishi wa mahakama.

Leopard hii kila kituo cha utalii, wasanii na waimbaji wao watadhaminiwa kwa kazi yao tu ya kuandaa nyimbo na maigizo watapata mil 160

Wedac hii imeandaliwa kazi ya kushushulikia wanec wa zanzibar, usafiri kula, kulala na kila mmoja laptop aina ya Toshiba

Tanform wao ni kujakikisha wanavyuo, shule zote za vyuo watapelekewa laptop, walemavu ambao watapewa bajaj mpya,

Inavyoonekana kuwa Chama cha mapinduzi, kimeandaa mgombea kinayeamini kuwa akiwekwa watashinda na kurejesha heshima ya ccm,mgombea huyo ni Magufuli( waziri wa ujenzi).

Aidha mrithi wa Pinda, atakuwa Mwigullu Nchemba,ambaye ndio atakuwa waziri Mkuu, amechaguliwa ili baada ya kupitishwa John Pombe Magufuli, Mwigullu amsaidie.

Mtonyaji wangu, alisema Mwandosya, Asha Rose Migiro, Makongoro Nyerere na January Makamba( anayetarajiwa kubaki wizara yake,) hao wataunda timu ya kampeni na hawa ndio watakuwa Mwiba kwa kampeni za ukawa.


Aidha, juhudi zinafanyika upande wa Lowassa, chini ya wanec kadhaa wenye nguvu ambao amewaahidi uongozi wa juu,wameapa kufa nae.

Hoja ni hii je, Mgombea ndani ya Timu ya Magufuli ambao wamedanganya Bandari, umeme vijijini, Barabara vijijini hadi Mikoani na wilayani hazijajengwa, watu waliokataa maoni ya wananchi leo walete chupa mpya yenye mvinyo uleule?


Kwa taarifa,Lowassa ameapa, iwe isiwe Lazima awe Rais,atatumia kila mbinu." Wamebadili wakuu wa Mikoa na Wilaya wengi lakini, watanitambua"


Alipoulizwa habari ya Richmond amesema " amewaelewa mbinu waliyomfanyia, hatarudi nyuma,aliwaachia uwaziri Mkuu, sasa wamuachenae atafute timu yake kwenda Ikulu na hakwami!


Wakuu hii ndiyo tifuatifua iliyomo,naambayo Lowassa ameandaa bil 3 kuingia Ikulu, kwani sikitu kwake.
 
Dah!
Napata hofu kubwa,fedha hizi,hata Obama ikusanyaji wa fedha za kampeni,ulidhibitiwa ccm mnaendelea kuwa chama dume kwa matumizi mabaya ya fedh
 
Upuuzi huu wa mamvi unavumiliwa hapa tanzania tu , mwaka huu UKAWA MBELE KWA MBELE !
 
Alafu hawa ccm njaa kali wana nunuliwa kirahisi sana
 
usipende sana kuamini habari za kupikwa mkuu

Habari zip za kupikwa? wakati Watz wanaona ufisad huu na bado wanaendelea kufanya ufisad? Hapa hata kama Mtanzania hana Elim ila anaona ufisad huu na anaakil ya kuzaliwa. Mwisho wa ccm ni oct hatuna jins,
Namnukuu baba wa Taifa, Watz wasipoyapata mabadiliko ndani ya ccm bac watayapata nje ya ccm mda muafaka wa mabadiliko sasa ewe mtanzania nenda kajiandikeshe kwenye daftar la kudumu la wapiga kura hiyo ndo ngao ya kuiondoa ccm na mafisad wake,
Tunatambua kuna hujuma kwenye uandikishwaj katika mfumo wa BVR ila Watz hawatakataa tamaa kusubir vituon pamoja na njama nying za ccm Nec kuwa slow.
 
Watarudishaje gharama wakati watakua wapinzani tayari!watauza kanga na kofia za ccm maana watakua hawana wanachama
 
Habari zip za kupikwa? wakati Watz wanaona ufisad huu na bado wanaendelea kufanya ufisad? Hapa hata kama Mtanzania hana Elim ila anaona ufisad huu na anaakil ya kuzaliwa. Mwisho wa ccm ni oct hatuna jins,
Namnukuu baba wa Taifa, Watz wasipoyapata mabadiliko ndani ya ccm bac watayapata nje ya ccm mda muafaka wa mabadiliko sasa ewe mtanzania nenda kajiandikeshe kwenye daftar la kudumu la wapiga kura hiyo ndo ngao ya kuiondoa ccm na mafisad wake,
Tunatambua kuna hujuma kwenye uandikishwaj katika mfumo wa BVR ila Watz hawatakataa tamaa kusubir vituon pamoja na njama nying za ccm Nec kuwa slow.
Kamanda Tatizo la Ccm wanafikiri Watanzania baado niwajinga
 
Watarudishaje gharama wakati watakua wapinzani tayari!watauza kanga na kofia za ccm maana watakua hawana wanachama




Amesema atatumia gesi kukopa,hivyo serikali ya Lowassa itaendelea kutoa rehani raslimali za nchi ili kupitia kukopa na kwa kuwa anauchukia umaskini,anataka utajiri zitarudi kwa njia ya mikopo ya serikali yake ya ccm
 
Amesema atatumia gesi kukopa,hivyo serikali ya Lowassa itaendelea kutoa rehani raslimali za nchi ili kupitia kukopa na kwa kuwa anauchukia umaskini,anataka utajiri zitarudi kwa njia ya mikopo ya serikali yake ya ccm
Yale yale ya rechmond yanarudi
 
Ile kampuni yake ya Richard Monduli aka Richmond nasikia ndiyo iliyobeba jukumu la kuwabeba maafisa Kilimo wanne wanne kila wilaya, kila moja 120,000/= daaah!

Kutangaza form tu fedha zote hizi!
 
Back
Top Bottom