kwa Sera mzuri ambazo ccm wamecopy
wapinzani wanahubiri mshikamano,upendo, udugu, umoja wa kitaifa
wapinzani wana tetea demokrasia ya kweli Uhuru wa kujieleza
wapinzani wanapigania utawala wa
sheria na haki za binadamu
kama hayo wewe huyaoni basi unatatizo kichwani