Tpaul kubishana na kizibo kama hiki ni kujivunjia heshima! Lina macho lakini halioni! zezeta kabisa hili
mkuu, tutajie basi matumizi ya fedha za mfuko wa jimbo
mwambieni mnyika tunataka maji ubungo alisema ndani ya mwezi mmoja akichaguliwa ataleta maji ubungo yako wapi sasa hayo maji aliyosema mnyika.
mwambieni mnyika tunataka maji ubungo alisema ndani ya mwezi mmoja akichaguliwa ataleta maji ubungo yako wapi sasa hayo maji aliyosema mnyika.
Fedha za mfuko wa jimbo ndizo zinajenga barabara, miundombinu ya maji, kujenga maabara na kila kitu? kama kazi yake ni hiyo, sasa kuna haja gani ya wananchi kuchangishwa fedha za maabara? ama kweli humu jf kuna mimburura mingi sana. wakuu BAK lusungo Mamndenyi, Elli, et al hebu piteni huku mnisaidie kutoa elimu ya uraia. kuna watu huku hawajui jinsi serikali inavyopata mapato yake na matumizi yake.
Mkuu, kuna fedha za mfuko wa jimbo ambazo zinasimamiwa na mbunge. Je wanazitumiaje?
mwambieni mnyika tunataka maji ubungo alisema ndani ya mwezi mmoja akichaguliwa ataleta maji ubungo yako wapi sasa hayo maji aliyosema mnyika.
Nawashauri wabunge wote wanaonyimwa miradi ya maendeleo kwa hila wawaeleze wananchi wao kinagaubaga na ikibidi wawatake wasilipe kodi, full stop. Kodi wanalipa wananchi wote na sio wanachama wa ccm tu.Tena ni lazima watoe hela ya maendeleo na wala sio ombi vinginevyo hakuna kulipa kodi.
Siko hapa kuwatetea wabunge wa upinzani niko hapa kutetea kila mtu/idara/mamlaka kuwajibika kwa eneo lake na kwa haki. Mmbuge awe wa ccm/upinzani atapaswa kutoa taarifa za miradi ya maendeleo ya jimbo lake na ni kiasi gani kapata na katumiaje kiasi alichopata kwa ajili ya maendeleo ya eneo lake. Na kama anakwamishwa na serekali ya ccm kwa makusudi atoe ufafanuzi sisi wananchi tutachukua hatua.
Hilo hakuna hadi uwe na ushahidi kamili, si porojo tu. Sasa hivi wananchi wa vijijini wanafurahia umeme unaosambazwa, hatujasikia kuna jimbo la mbunge yeyote aliyenyimwa huo umeme.
Fedha za mfuko wa jimbo ndizo zinajenga barabara, miundombinu ya maji, kujenga maabara na kila kitu? kama kazi yake ni hiyo, sasa kuna haja gani ya wananchi kuchangishwa fedha za maabara? ama kweli humu jf kuna mimburura mingi sana. wakuu BAK lusungo Mamndenyi, Elli, et al hebu piteni huku mnisaidie kutoa elimu ya uraia. kuna watu huku hawajui jinsi serikali inavyopata mapato yake na matumizi yake.
Mkuu, kuna fedha za mfuko wa jimbo ambazo zinasimamiwa na mbunge. Je wanazitumiaje?
Wewe usijitoe ufahamu, pesa za mfuko wa Jimbo ni kidogo sana. Mfano ni huu hapa toka kwa Bwana wako Zitto:Mkuu, tutajie basi matumizi ya fedha za mfuko wa Jimbo
Hilo hakuna hadi uwe na ushahidi kamili, si porojo tu. Sasa hivi wananchi wa vijijini wanafurahia umeme unaosambazwa, hatujasikia kuna jimbo la mbunge yeyote aliyenyimwa huo umeme.
We kigagula unazani kila mtu mjinga mimi naishi ubungo yanayosemwa nayaona na kuyashuhudia
utajuaje wakati umejitoa akili na kumkabidhi bosi wako Nape Nnauye? hili suala liko wazi na wala halihitaji utafiti. ni watu wanaojitoa akili kama wewe ndio wanaoweza kubisha tu.
Hilo hakuna hadi uwe na ushahidi kamili, si porojo tu. Sasa hivi wananchi wa vijijini wanafurahia umeme unaosambazwa, hatujasikia kuna jimbo la mbunge yeyote aliyenyimwa huo umeme.
Usishangae hao tu mkuu maana yawezekana hawafahamu hata nini wanachangia.....
Nchi vituko ni vingi kuanzia kwa watu Wa chini mpaka juu nimemsikia yule bolizozo Mwigullu akisema anashangaa kwanini serikali inatenga PESA nyingi kwaajili ya maadhimisho kuliko mambo ya msingi wakati hazina inayotoa fedha IPO chini yake......
kuna tatizo kubwa Sana juu ya uwezo Wa hawa watu kiakili ndio maana serikali imedorora na maendeleo yamedorora.....