MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,990
- 34,838
Wakuu,
Nimetafakari sana nguvu kubwa na ya makusudi inayotumika kuidhoofisha kabisa Chadema tena wahusika hawana tena hata soni waziwazi.
Haya yote lengo kuu ni kukilinda chama tawala, lakini huu ulinzi mbona hauna ulinzi? Public awareness kwa yanayoendelea mbona ni sawa na kuzungusha ukuta na kuweka mageti makubwa bila kuyafunga?
Ndio tunajua CCM haitotawala milele lakini jinsi Chadema inavyoshughulikiwa kwenye jicho la umma ni sawa na mtoto yatima anayenyanyaswa na kupigwa huku akikatazwa kulia. Watu wanaona mnawapuuza mnaamini mnawamudu.
Hatari itayowakabili ni siku hizo thermometers zenu zitapowaambia joto ni 36 degrees kumbe ni 98 degrees. Hamtaamini tatizo ni thermometers au macho yenu.
Acheni taasisi za kiraia zitimize wajibu wao na ionekane hivyo na kila mmoja aamini hivyo.
Nimetafakari sana nguvu kubwa na ya makusudi inayotumika kuidhoofisha kabisa Chadema tena wahusika hawana tena hata soni waziwazi.
Haya yote lengo kuu ni kukilinda chama tawala, lakini huu ulinzi mbona hauna ulinzi? Public awareness kwa yanayoendelea mbona ni sawa na kuzungusha ukuta na kuweka mageti makubwa bila kuyafunga?
Ndio tunajua CCM haitotawala milele lakini jinsi Chadema inavyoshughulikiwa kwenye jicho la umma ni sawa na mtoto yatima anayenyanyaswa na kupigwa huku akikatazwa kulia. Watu wanaona mnawapuuza mnaamini mnawamudu.
Hatari itayowakabili ni siku hizo thermometers zenu zitapowaambia joto ni 36 degrees kumbe ni 98 degrees. Hamtaamini tatizo ni thermometers au macho yenu.
Acheni taasisi za kiraia zitimize wajibu wao na ionekane hivyo na kila mmoja aamini hivyo.