Ryaro wa Ryaro
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 2,659
- 1,430
Wasanii zaidi ya 50 Mnazunguka nao nchi nzima hakuna Impact.
Wazee wote waliostaafu mmewaleta kuwatesa majukwaani Huku wengine wakitutukana Malofa.
Watukanaji na wadhalilishaji wote mmeealeta majukwaani Hakuna impact.
Wapinzani Waroho Wa gawila wote wamelamba Hakuna Impact.
CCM Na Tafiti Tatanishi za washirika wapiga deal Hakuna Impact.
Kuandaa Wanachama waasi feki kuvuruga Mabadiriko Hakuna Impact.
Kutuzusha udini,Ukanda na Ukabila No Impact.
Kutoa Watu hofu na kuwaambia Mambo ya Libya, Rwanda na Rais Saddam Wa Quwait No Impact.
Kupiga Push up Pamoja na Kurukaruka majukwaani Watu wasema Mabadiriko yako palepale.
Kuiga slogan za UKAWA M4C, No Impact.
Kupiga campaign eti za Bajaji No Impact.
Kusomba Watu Kwenye Malori no Impact.
Nk..nk..nk..
Watanzania wanasema Ulipo Tupo, iwe Jua hama Mvua..Mabadiriko regardless of the consequences...
Nchi yangu ni Tanzania na Rais wangu ni Mh.mmvbbvvba
Wazee wote waliostaafu mmewaleta kuwatesa majukwaani Huku wengine wakitutukana Malofa.
Watukanaji na wadhalilishaji wote mmeealeta majukwaani Hakuna impact.
Wapinzani Waroho Wa gawila wote wamelamba Hakuna Impact.
CCM Na Tafiti Tatanishi za washirika wapiga deal Hakuna Impact.
Kuandaa Wanachama waasi feki kuvuruga Mabadiriko Hakuna Impact.
Kutuzusha udini,Ukanda na Ukabila No Impact.
Kutoa Watu hofu na kuwaambia Mambo ya Libya, Rwanda na Rais Saddam Wa Quwait No Impact.
Kupiga Push up Pamoja na Kurukaruka majukwaani Watu wasema Mabadiriko yako palepale.
Kuiga slogan za UKAWA M4C, No Impact.
Kupiga campaign eti za Bajaji No Impact.
Kusomba Watu Kwenye Malori no Impact.
Nk..nk..nk..
Watanzania wanasema Ulipo Tupo, iwe Jua hama Mvua..Mabadiriko regardless of the consequences...
Nchi yangu ni Tanzania na Rais wangu ni Mh.mmvbbvvba