CCM wanajaribu kuficha uchi wao kwa majani ya mti bila kuelewa kuwa jua likiwaka hayo majani yatanyauka na uchi wao utaonekana.
Kosa kubwa sana mlilofanya ni mtindo wa kuendeasha siasa zenu kibabe; mliwanyanyasa washindani wenu kwa kiwango cha hali ya juu mkidhani kuwa Watanzania walikuwa hawayaoni hayo mnayoyafanya.
Mkaendesha nchi hii kwa kuvunja Katiba huku mkidhani wananchi ni vipofu na hawayaoni hayo mnayotenda.
Mkawa na kiburi cha kujiamulia mambo makubwa yanayohusu nchi yetu bila ya kufuata taratibu ambazo zimewekwa kwa mujibu wa Sheria.
Leo nkiambiwa ukweli mnakimbilia kutoa kauli na madai kuwa hizo shutma ni kauli za kichochezi. Hivi mnadhani watanzania wa leo bado hawajui kupambanua kati ya kauli za kweli na za kichochezi? Kubalini tu kuwa umefika wakati sasa mvune faida ya maovu yenu.
Washindani wenu wamewavua nguo msijaribu kuwakimbiza aibu ya uchi wenu itazidi kuonekana. Ni bora nkubali kuchutama ili mambo haya yaishe.
Kosa kubwa sana mlilofanya ni mtindo wa kuendeasha siasa zenu kibabe; mliwanyanyasa washindani wenu kwa kiwango cha hali ya juu mkidhani kuwa Watanzania walikuwa hawayaoni hayo mnayoyafanya.
Mkaendesha nchi hii kwa kuvunja Katiba huku mkidhani wananchi ni vipofu na hawayaoni hayo mnayotenda.
Mkawa na kiburi cha kujiamulia mambo makubwa yanayohusu nchi yetu bila ya kufuata taratibu ambazo zimewekwa kwa mujibu wa Sheria.
Leo nkiambiwa ukweli mnakimbilia kutoa kauli na madai kuwa hizo shutma ni kauli za kichochezi. Hivi mnadhani watanzania wa leo bado hawajui kupambanua kati ya kauli za kweli na za kichochezi? Kubalini tu kuwa umefika wakati sasa mvune faida ya maovu yenu.
Washindani wenu wamewavua nguo msijaribu kuwakimbiza aibu ya uchi wenu itazidi kuonekana. Ni bora nkubali kuchutama ili mambo haya yaishe.