Hajachoshwa na yote hayo,kazidiwa tu kete
Na muhongo muongo !
Sasa anajidai kutoa machozi ya uchungu wa nchi,kujidai anaumizwa na wizi !
Yeye si mmoja wa waliopitisha mikataba ya wizi ? Leo anatatarika nini,ili aonekane hakuhusika?
Msema ukweli Huyo !
Mzee watu wana akili kuliko unavyo waza.hilarity wakudanganya,hiyo inawafaa wewe na wakaribu na meza yako.
Ila wengine wengi,tumegundua unarusha upupu,unakoelekea upepo,ili kuumiza wengi,kwakua umeshindwa kutimiza ahadi zako,ili uje usingizie tuliibiwa dhahabu tukashindwa kutimiza ahadi za ccm kwa wananchi ! Utakaa sana,na komedi zako hizo.