CCM Mkoa wa Mtwara itaanguka kwa kishindo

CCM Mkoa wa Mtwara itaanguka kwa kishindo

Mtwara mjini ni sheeda, Tandahimba nako Katani ni tishio. Mtwara vijijjn nadhan CCM bado itashinda.
 
Mnajitekenya alafu. Mnacheka wenyewe. Humu ndani sijawahi sikia kuna jimbo ccm ialibeba kila jimbo ukawa. Basi. Mi naona ni vyema mkayachukuwa yoteee. Maana habari zenu za kiunazi zaidi. Km. Gazeti la tanzania daima
 
Jamani wana mtwara tusameheni CCM hatutawapiga tena wala hatutawatenga tena kimaendeleo. Plz plz.
 
nitawashangaa sana ndugu zangu wanamtwara kama wataipigia kura ccm mwaka huu. maana wamedhalilishwa sana kisa kutetea gesi yao. wana mtwara twende na lowasaa na ukawa kiujumla.
 
Uloi nga mâché68;14203923 said:
Jidanganyeni tu. Lakini msisingizie kuibiwa kura!

Mtwara huijui wewee...
nilikuepo kipindi cha uchaguzi wa wenyeviti wa serikali ya mtaa CCM mmechokwaaaa
 
nitawashangaa sana ndugu zangu wanamtwara kama wataipigia kura ccm mwaka huu. maana wamedhalilishwa sana kisa kutetea gesi yao. wana mtwara twende na lowasaa na ukawa kiujumla.

Si kwa mtwara ile niliyoiacha mimi,watu wameamka sana wana hasira na CCM yaani MURJI AJIANDAE TU
 
Ila watu wa mtwara wakiichagua ccm ntashangaa sana. Ila watu wa kisini siwaamini kabisa
 
Uloi nga mâché68;14203923 said:
Jidanganyeni tu. Lakini msisingizie kuibiwa kura!

***** mwaka huu mnazaa mapacha nane.
 
Mnajitekenya alafu. Mnacheka wenyewe. Humu ndani sijawahi sikia kuna jimbo ccm ialibeba kila jimbo ukawa. Basi. Mi naona ni vyema mkayachukuwa yoteee. Maana habari zenu za kiunazi zaidi. Km. Gazeti la tanzania daima

Habari za uongo zitakazokufurahisha wewe jisimulie mwenyewe.

Waandike visivyokuwepo!!!!!
 
nitawashangaa sana ndugu zangu wanamtwara kama wataipigia kura ccm mwaka huu. maana wamedhalilishwa sana kisa kutetea gesi yao. wana mtwara twende na lowasaa na ukawa kiujumla.

Ndugu bado nimekutwa na mshangao juu ya hii post yako. "Kisa kutetea gesi yao" Hivi kila mkoa ukisema ugomee rasilimali inayopatikana kwenye mkoa husika tutafikia maendeleo tunayoyapigania? Au siasa imetufanya tuwe na mawazo butu juu ya kila jambo hata lenye manufaa ya nchi?
 
Mnajitekenya alafu. Mnacheka wenyewe. Humu ndani sijawahi sikia kuna jimbo ccm ialibeba kila jimbo ukawa. Basi. Mi naona ni vyema mkayachukuwa yoteee. Maana habari zenu za kiunazi zaidi. Km. Gazeti la tanzania daima

Kama twaweza walivyowatekenya na gazeti la Uhuru linavyowatekenyaga kila siku
 
Back
Top Bottom