johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Barnabas Essau amesema hakuna mwanachama yoyote wa chama hicho aliyerudisha kadi kama ilivyoripotiwa na ITV jana.
Mzee Essau amesema kadi zilizooneshwa jana walikuwa nazo makatibu wa Matawi wa CCM ambao hawajulikani walizitoa wapi na uchunguzi rasmi juu ya swala hilo umeanza na vikao husika vya chama vitatolea taarifa.
Source: ITV habari
Mzee Essau amesema kadi zilizooneshwa jana walikuwa nazo makatibu wa Matawi wa CCM ambao hawajulikani walizitoa wapi na uchunguzi rasmi juu ya swala hilo umeanza na vikao husika vya chama vitatolea taarifa.
Source: ITV habari