CCM mkijibu hizi hoja nitachukua kadi rasmi

seedfarm

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
260
2,654
Wanabodi, Siasa ni hoja,Mtindo wa ccm kujadili mtu badala ya hoja haitawasaidia ,Hoja za kujadili zipo nyingi sana zilizosababisha maisha ya watu kuwa ya hovyo na magumu

Takwimu za ugonjwa wa corona ni mwana ccm gani mwenye uwezo wa kuhoji mwenendo na hali halisi ya corona Tanzania bila hofu wala kuogopa? au wengi ni kama maisha ya konokono anatoa kichwa nje akiona hatari kichwa anaficha ndani

Leo hii ukiruhusu dodoso kuhoji watu kuhusu maisha utashangaa sana,Hao wanyonge wafanyabiashara ,wakulima na wafanyakazi ni kilio kila kona ya nchi

CCM hakuna anayejua matumizi ya pesa ya hiki chama,Uchaguzi wa mwaka 2005 Rais mstaafu wa awamu ya tatu amekiri kwenye kitabu chake kuwa pesa za EPA zilitumika kwenye uchaguzi wa mwaka 2005 wa ccm,Je hizi pesa ccm wamerudisha kwa wananchi wanyonge?

Je, Mamlaka kuu tatu yaani serikali,Bunge na Mahakama zinaheshimiana na zipo huru,Kama zinaheshimiana kwanini katiba na sheria zinavunjwa hapa kuna mifano mingi sana,Spika kulazimisha mtu aliyeacha ubunge kurudi bungeni,Serikali kuiamrisha bunge kutolipa pesa halali kwa wabunge

Je, Wafanyakazi tangu 2015 mishahara yao imebadilika huku gharama za maisha na mahitaji zikiongezeka

Je, Wafanyabiashara wanafanya biashara kwa uhuru bila kuporwa mali zao na TRA, Hizi kejeli kwa wafanyabiashara kubambikiwa kodi nani anazijibu

Je, Kuna kiongozi yeyote wa kitaifa anamsomesha mtoto wake kwenye shule za msingi zisizo na umeme ,internet,maji na madawati ,Hizi shule mbovu ndio zinaitwa za wanyonge

Je, Matumizi ya kununua baadhi ya mazao kama korosho au kununua ndege yalipitishwa na Bunge

Je, Ofisi za CCM mikoani na viwanja vya mpira vilivyojengwa na wananchi wakati wa chama kimoja mfano uwanja wa Majimaji Songea ,Kodi mnazokusanya kwenye majengo na viwanja hivyo vya uma mnazipeleka kwa wananchi au mmegeuza ni mali za chama

Je, Tangu mwaka 2015 mpaka leo vijana wanaomaliza chuo na vyuo ni wangapi mmewatengenezea ajira au ndio kauli za kuwaambia mtajijua wenyewe bila mitaji au mikopo

Je, Kwanini watu waliokijenga chama kwa jasho na damu wakati wa shida na taabu hawapewei nafasi ya uongozi bali mamluki wanaojenga hoja siku moja bungeni ya kusifu si zaidi ya dakika 10 wanakabidhiwa mamlaka makubwa

Je, Kitendo cha wabunge wa ccm bungeni kuanza kwa kusifia mamlaka halafu mwishoni kuanza kulalamika kuwa huduma hakuna majimboni huu sio unafiki na kuwafanya Raia wapumbavu

CCM ikijibu hizi hoja nipo tayari kujiunga rasmi na chama hiki,Lakini kitendo cha kumjadili mtu badala ya hoja mezani hazitawasaidia kitu ,Maisha ya hao wanyonge yalishakuwa magumu na ya hovyo,Mna kazi kubwa kushawishi watu
 
Mwanachedema yupi ana uwezo wa kujibu hoja ya deni la 2b la mwenyekiti?

Mwanachadema yupi ana uwezo wa kihoji 50m za kila mwezi anayochukua mwenyekiti wa kudumu?

Mwanachadema yupi ana uwezo wa kuhoji 300m za ruzuku inayoingia chamani kila mwezi?

Ni mwanachadema yupi ana uwezo wa kuuliza ofisi ya chadema haiboreshwi angali wabunge wanakatwa kila mwezi laki 5 na ruzuku 300M?

Ni mwachadema yupi ana uwezo wa kuhoji 300m za ruzuku inayotolewa na serikali kila mwezi?

Ni mwanachadema yupi ana uwezo wa kuhoji kwann mwenyekiti ahojiwi ukomo wake wa uenyekiti?

Nawasilisha
 
Wanabodi, Siasa ni hoja,Mtindo wa ccm kujadili mtu badala ya hoja haitawasaidia ,Hoja za kujadili zipo nyingi sana zilizosababisha maisha ya watu kuwa ya hovyo na magumu

Takwimu za ugonjwa wa corona ni mwana ccm gani mwenye uwezo wa kuhoji mwenendo na hali halisi ya corona Tanzania bila hofu wala kuogopa? au wengi ni kama maisha ya konokono anatoa kichwa nje akiona hatari kichwa anaficha ndani

Leo hii ukiruhusu dodoso kuhoji watu kuhusu maisha utashangaa sana,Hao wanyonge wafanyabiashara ,wakulima na wafanyakazi ni kilio kila kona ya nchi

CCM hakuna anayejua matumizi ya pesa ya hiki chama,Uchaguzi wa mwaka 2005 Rais mstaafu wa awamu ya tatu amekiri kwenye kitabu chake kuwa pesa za EPA zilitumika kwenye uchaguzi wa mwaka 2005 wa ccm,Je hizi pesa ccm wamerudisha kwa wananchi wanyonge?

Je? Mamlaka kuu tatu yaani serikali,Bunge na Mahakama zinaheshimiana na zipo huru,Kama zinaheshimiana kwanini katiba na sheria zinavunjwa hapa kuna mifano mingi sana,Spika kulazimisha mtu aliyeacha ubunge kurudi bungeni,Serikali kuiamrisha bunge kutolipa pesa halali kwa wabunge

Je? Wafanyakazi tangu 2015 mishahara yao imebadilika huku gharama za maisha na mahitaji zikiongezeka

Je? Wafanyabiashara wanafanya biashara kwa uhuru bila kuporwa mali zao na TRA, Hizi kejeli kwa wafanyabiashara kubambikiwa kodi nani anazijibu

Je? Kuna kiongozi yeyote wa kitaifa anamsomesha mtoto wake kwenye shule za msingi zisizo na umeme ,internet,maji na madawati ,Hizi shule mbovu ndio zinaitwa za wanyonge

Je? Matumizi ya kununua baadhi ya mazao kama korosho au kununua ndege yalipitishwa na Bunge

Je? Ofisi za ccm mikoani na viwanja vya mpira vilivyojengwa na wananchi wakati wa chama kimoja mfano uwanja wa Majimaji Songea ,Kodi mnazokusanya kwenye majengo na viwanja hivyo vya uma mnazipeleka kwa wananchi au mmegeuza ni mali za chama

Je?Tangu mwaka 2015 mpaka leo vijana wanaomaliza chuo na vyuo ni wangapi mmewatengenezea ajira au ndio kauli za kuwaambia mtajijua wenyewe bila mitaji au mikopo

Je? Kwanini watu waliokijenga chama kwa jasho na damu wakati wa shida na taabu hawapewei nafasi ya uongozi bali mamluki wanaojenga hoja siku moja bungeni ya kusifu si zaidi ya dakika 10 wanakabidhiwa mamlaka makubwa

Je? Kitendo cha wabunge wa ccm bungeni kuanza kwa kusifia mamlaka halafu mwishoni kuanza kulalamika kuwa huduma hakuna majimboni huu sio unafiki na kuwafanya Raia wapumvavu

CCM ikijibu hizi hoja nipo tayari kujiunga rasmi na chama hiki,Lakini kitendo cha kumjadili mtu badala ya hoja mezani hazitawasaidia kitu ,Maisha ya hao wanyonge yalishakuwa magumu na ya hovyo,Mna kazi kubwa kushawishi watu
Wewe umekengeuka? Hadi mali za chama cha Mapinduzi unataka kodi zake zipelekwe kwa umma?
Unaanza kuulizia watoto wa viongozi wanasoma shule ambazo hazina taa au umeme. Kwa hiyo ulitaka mawaziri wahame Dodoma waje kuishi huko kijijini kwenu?
Unaulizia kubadili matumizi na kununua ndege. Kwani hujui kifungu cha 41 cha sheria ya bajeti kinaruhusu kubadili matumizi ya pesa? Mbona pesa ya Mwenge ilipobadilishwa ikawa ya kupambana Covid-19,mbona hukuuliza? Maswali yote umejeza utumbo mtupu. Ajira ni tatizo hata ukienda Usa sio kwamba wana ajili kila mwezi
 
Wanabodi, Siasa ni hoja,Mtindo wa ccm kujadili mtu badala ya hoja haitawasaidia ,Hoja za kujadili zipo nyingi sana zilizosababisha maisha ya watu kuwa ya hovyo na magumu

Takwimu za ugonjwa wa corona ni mwana ccm gani mwenye uwezo wa kuhoji mwenendo na hali halisi ya corona Tanzania bila hofu wala kuogopa? au wengi ni kama maisha ya konokono anatoa kichwa nje akiona hatari kichwa anaficha ndani

Leo hii ukiruhusu dodoso kuhoji watu kuhusu maisha utashangaa sana,Hao wanyonge wafanyabiashara ,wakulima na wafanyakazi ni kilio kila kona ya nchi

CCM hakuna anayejua matumizi ya pesa ya hiki chama,Uchaguzi wa mwaka 2005 Rais mstaafu wa awamu ya tatu amekiri kwenye kitabu chake kuwa pesa za EPA zilitumika kwenye uchaguzi wa mwaka 2005 wa ccm,Je hizi pesa ccm wamerudisha kwa wananchi wanyonge?

Je, Mamlaka kuu tatu yaani serikali,Bunge na Mahakama zinaheshimiana na zipo huru,Kama zinaheshimiana kwanini katiba na sheria zinavunjwa hapa kuna mifano mingi sana,Spika kulazimisha mtu aliyeacha ubunge kurudi bungeni,Serikali kuiamrisha bunge kutolipa pesa halali kwa wabunge

Je, Wafanyakazi tangu 2015 mishahara yao imebadilika huku gharama za maisha na mahitaji zikiongezeka

Je, Wafanyabiashara wanafanya biashara kwa uhuru bila kuporwa mali zao na TRA, Hizi kejeli kwa wafanyabiashara kubambikiwa kodi nani anazijibu

Je, Kuna kiongozi yeyote wa kitaifa anamsomesha mtoto wake kwenye shule za msingi zisizo na umeme ,internet,maji na madawati ,Hizi shule mbovu ndio zinaitwa za wanyonge

Je, Matumizi ya kununua baadhi ya mazao kama korosho au kununua ndege yalipitishwa na Bunge

Je, Ofisi za CCM mikoani na viwanja vya mpira vilivyojengwa na wananchi wakati wa chama kimoja mfano uwanja wa Majimaji Songea ,Kodi mnazokusanya kwenye majengo na viwanja hivyo vya uma mnazipeleka kwa wananchi au mmegeuza ni mali za chama

Je, Tangu mwaka 2015 mpaka leo vijana wanaomaliza chuo na vyuo ni wangapi mmewatengenezea ajira au ndio kauli za kuwaambia mtajijua wenyewe bila mitaji au mikopo

Je, Kwanini watu waliokijenga chama kwa jasho na damu wakati wa shida na taabu hawapewei nafasi ya uongozi bali mamluki wanaojenga hoja siku moja bungeni ya kusifu si zaidi ya dakika 10 wanakabidhiwa mamlaka makubwa

Je, Kitendo cha wabunge wa ccm bungeni kuanza kwa kusifia mamlaka halafu mwishoni kuanza kulalamika kuwa huduma hakuna majimboni huu sio unafiki na kuwafanya Raia wapumbavu

CCM ikijibu hizi hoja nipo tayari kujiunga rasmi na chama hiki,Lakini kitendo cha kumjadili mtu badala ya hoja mezani hazitawasaidia kitu ,Maisha ya hao wanyonge yalishakuwa magumu na ya hovyo,Mna kazi kubwa kushawishi watu
Waeleze na zile tr.1.5 na deni la taifa kupaa kila uchaao ni nini maana yake? Na kwa nini mikataba haipelekwi Bungeni kama sheria inavyotaka na wako kimya?
 
Wewe umekengeuka? Hadi mali za chama cha Mapinduzi unataka kodi zake zipelekwe kwa umma?
Unaanza kuulizia watoto wa viongozi wanasoma shule ambazo hazina taa au umeme. Kwa hiyo ulitaka mawaziri wahame Dodoma waje kuishi huko kijijini kwenu?
Unaulizia kubadili matumizi na kununua ndege. Kwani hujui kifungu cha 41 cha sheria ya bajeti kinaruhusu kubadili matumizi ya pesa? Mbona pesa ya Mwenge ilipobadilishwa ikawa ya kupambana Covid-19,mbona hukuuliza? Maswali yote umejeza utumbo mtupu. Ajira ni tatizo hata ukienda Usa sio kwamba wana ajili kila mwezi
Wale wana fao la wasio na ajira.
 
CCM ni janga la karne chama kimegeuka genge la mafia linaloteketeza nchi na kudanganya kuwekeza kwenye miradi isiyo na tija. Muda ndio shahidi tutaelewana tu muda ukiwadia
 
Wanabodi, Siasa ni hoja,Mtindo wa ccm kujadili mtu badala ya hoja haitawasaidia ,Hoja za kujadili zipo nyingi sana zilizosababisha maisha ya watu kuwa ya hovyo na magumu

Takwimu za ugonjwa wa corona ni mwana ccm gani mwenye uwezo wa kuhoji mwenendo na hali halisi ya corona Tanzania bila hofu wala kuogopa? au wengi ni kama maisha ya konokono anatoa kichwa nje akiona hatari kichwa anaficha ndani

Leo hii ukiruhusu dodoso kuhoji watu kuhusu maisha utashangaa sana,Hao wanyonge wafanyabiashara ,wakulima na wafanyakazi ni kilio kila kona ya nchi

CCM hakuna anayejua matumizi ya pesa ya hiki chama,Uchaguzi wa mwaka 2005 Rais mstaafu wa awamu ya tatu amekiri kwenye kitabu chake kuwa pesa za EPA zilitumika kwenye uchaguzi wa mwaka 2005 wa ccm,Je hizi pesa ccm wamerudisha kwa wananchi wanyonge?

Je, Mamlaka kuu tatu yaani serikali,Bunge na Mahakama zinaheshimiana na zipo huru,Kama zinaheshimiana kwanini katiba na sheria zinavunjwa hapa kuna mifano mingi sana,Spika kulazimisha mtu aliyeacha ubunge kurudi bungeni,Serikali kuiamrisha bunge kutolipa pesa halali kwa wabunge

Je, Wafanyakazi tangu 2015 mishahara yao imebadilika huku gharama za maisha na mahitaji zikiongezeka

Je, Wafanyabiashara wanafanya biashara kwa uhuru bila kuporwa mali zao na TRA, Hizi kejeli kwa wafanyabiashara kubambikiwa kodi nani anazijibu

Je, Kuna kiongozi yeyote wa kitaifa anamsomesha mtoto wake kwenye shule za msingi zisizo na umeme ,internet,maji na madawati ,Hizi shule mbovu ndio zinaitwa za wanyonge

Je, Matumizi ya kununua baadhi ya mazao kama korosho au kununua ndege yalipitishwa na Bunge

Je, Ofisi za CCM mikoani na viwanja vya mpira vilivyojengwa na wananchi wakati wa chama kimoja mfano uwanja wa Majimaji Songea ,Kodi mnazokusanya kwenye majengo na viwanja hivyo vya uma mnazipeleka kwa wananchi au mmegeuza ni mali za chama

Je, Tangu mwaka 2015 mpaka leo vijana wanaomaliza chuo na vyuo ni wangapi mmewatengenezea ajira au ndio kauli za kuwaambia mtajijua wenyewe bila mitaji au mikopo

Je, Kwanini watu waliokijenga chama kwa jasho na damu wakati wa shida na taabu hawapewei nafasi ya uongozi bali mamluki wanaojenga hoja siku moja bungeni ya kusifu si zaidi ya dakika 10 wanakabidhiwa mamlaka makubwa

Je, Kitendo cha wabunge wa ccm bungeni kuanza kwa kusifia mamlaka halafu mwishoni kuanza kulalamika kuwa huduma hakuna majimboni huu sio unafiki na kuwafanya Raia wapumbavu

CCM ikijibu hizi hoja nipo tayari kujiunga rasmi na chama hiki,Lakini kitendo cha kumjadili mtu badala ya hoja mezani hazitawasaidia kitu ,Maisha ya hao wanyonge yalishakuwa magumu na ya hovyo,Mna kazi kubwa kushawishi watu

Tanzania ni nchi ya kifalme mawazo kinzani ni ya kujifurahisha tu nafsi.
 
Back
Top Bottom