Ccm mbele kwa mbele

Ccm mbele kwa mbele

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,454
b9927f4abe38955453c629a3c05e453a.jpg
 
Lugha ya staha muhimu ina kupambanua na wasio wastaarabu, pia inakuepusha na matatizo ya sio ya lazima
 
Huwezi kuzuia Hisia
Hisia inahesabika kwako ww kutumia lugha kali...za kuudhi na kashfa!!!!

Lkn kwa hao CCM walichotenda kwako ni ukichaa....upuuzi.... kukosa akili...na hivyo kwao siyo Hisia

HUKO NI KUDAI HATI MILIKI YA MAWAZO..MATENDO NA UHURU WA MTU KUAMUA CHA KUFANYA!!!!!

Shame on you
 
Hisia inahesabika kwako ww kutumia lugha kali...za kuudhi na kashfa!!!!

Lkn kwa hao CCM walichotenda kwako ni ukichaa....upuuzi.... kukosa akili...na hivyo kwao siyo Hisia

HUKO NI KUDAI HATI MILIKI YA MAWAZO..MATENDO NA UHURU WA MTU KUAMUA CHA KUFANYA!!!!!

Shame on you
Nimeandika maneno Ma3 hapo "Huwezi" "Kuzuia" "Hisia". Ila wewe umekuja na maneno 60 tena yenye Kinyesi na uharo wa bata kwani umeambiwa mimi ndiye nimeiweka CCM madarakani!

Pumbavu sana unanyoa kila siku vuzi la makalio kumbe bado una akili za Punda.
 
Nimeandika maneno Ma3 hapo "Huwezi" "Kuzuia" "Hisia". Ila wewe umekuja na maneno 60 tena yenye Kinyesi na uharo wa bata kwani umeambiwa mimi ndiye nimeiweka CCM madarakani!

Pumbavu sana unanyoa kila siku vuzi la makalio kumbe bado una akili za Punda.
Mtu kumuita mwenzake Pumbavu wakati huo hajui kesho ataamka ama la ni kiwango kilekile alichoambiwa tajiri na Bwana Yesu baada ya majivuno na kiburi kuwa" hujui kesho utakufa"????

Maana yake ni kwamba Tengeneza sasa maana huijui kesho yako

Hoja ni kwamba kama wewe unataka kuonyesha hisia na uwe huru kuzionyesha.....
Vilevile na kwa kiwango kile kile cha uhuru Ruhusu mwingine naye kuonyesha hisia zake maana huna hati miliki ya hisia...

Pole sana mara nyingi ukweli unaumiza lkn utafanye ndugu yangu...Face the reality men
 
Kaa kimya kama huna hoja, kuichukia ccm Bila hatua kuchukua kuiondoa, utapata vidonda vya tumbo bure. Ccm ni dude kubwa inahitajika taiming
 
Mtu kumuita mwenzake Pumbavu wakati huo hajui kesho ataamka ama la ni kiwango kilekile alichoambiwa tajiri na Bwana Yesu baada ya majivuno na kiburi kuwa" hujui kesho utakufa"????

Maana yake ni kwamba Tengeneza sasa maana huijui kesho yako

Hoja ni kwamba kama wewe unataka kuonyesha hisia na uwe huru kuzionyesha.....
Vilevile na kwa kiwango kile kile cha uhuru Ruhusu mwingine naye kuonyesha hisia zake maana huna hati miliki ya hisia...

Pole sana mara nyingi ukweli unaumiza lkn utafanye ndugu yangu...Face the reality men
Wewe nae ni Panzi kuliko panzi za kawaida hiyo picha inaonesha wanawake wanacheza kucheza ni hisia kila mmoja anazo popote pale bila kujali eneo ulilopo unaweza kujikuta unacheza sasa wewe unakomaa na mambo ya mtu mmoja mimi nazungumzia hao wanawake wewe unawaza upuuzi wako.


Usidhani nazungumzia hisia za hotuba ya mtu, Usikariri kuwa hisia ni HOTUBA zile mnazopewa...... Jichukie mwenyewe na Familia yako kwa kuzaliwa hapa nchini kama unaona una mateso sana na CCM nenda umoja wa mataifa wakuoneshe nchi nyingine ya kwenda.

Pumbavu mmoja wewe.
 
Back
Top Bottom