CCM: Mambo si mambo

Ukisikia mtu yupo au anahamia Ccm kwa sasa ni njaa inampeleka ndilo la Msing kwao

Watu hawa ndo wanaotufanya tuendelee kuish kwa namna hii mpaka leo na hii poa ni kwasababu ya umasikini wa fikila na utambuzi wa watu hawa
Kunahaja ya kuendelea kuwa elimisha
 
Last edited by a moderator:
Ukoo wa panya, baba mwizi, mama mwizi, mtoto mwizi na mjukuu mwizi by Mh. Nasari
 
Mzee Tupatupa anafanya kazi nzuri sana ya kuumbua mafisdi
 

CC: Mjuni Lwambo

Soma jinsi baadhi ya wana-CCM walivyomshambulia.
 
Last edited by a moderator:
Hivi bado kuna watu ni wanachama wa ccm mpaka leo ?
Wewe unaishi nchi gani kwa maana hata Rais na mawaziri wako huwafahamu. Hata baba yako mwenyewe ni CCM. Unauliza swali au unaleta vichekesho kwenye forum!
 
Tusubirie ile kesi ya mkuu wa wilaya kinondoni itakavyopasua chama. Mkuu atataka kuonesha ubabe huku Laigwanani akim bip.
Kahakama itadhihirisha ipo kusimamia sheria au matakwa ya mafarao.
 
Tehe! tehe! tehe! tehe!.......................
Mwaka huu wataziba shimo la panya kwa mkate
 
Ivi kwani mzee tupatupa siku hizi fulana na kanga zenu mnauza? Maana ninavyofahamu Mimi mnakuwa mnagawa bure.Kweli CCM imekwisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…