CCM maji ya shingo Rukwa!

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,833
Reaction score
18,092
* Hongera Mzee Nkoswe - Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa
* Hongera Ikuwo - Mwanaharakati wa CHADEMA

Matunda ya mapambano yenu dhidi ya udhalimu wa CCM mkoa wa Rukwa tumeyaona!

Hongera wananchi wa Sumbawanga mjini kwa kuipiga chini CCM!

Pia pongezi za pekee ziwafikie wananchi wa Mwambao wa ziwa Tanganyika kwa kuifuta kabisa CCM!

Bye bye CCM!!!
 

Viporo vinaharibu akili sana.
 
hii nadhani haijakaa sawa, sioni objective hapa tafadhali fafanua zaidi
 
Dadavua zaidi Mkuu.......hii Hali ndio inafanya wezi wamejichimbia huko Zanzibar wanapanga jinsi ya kujikwamua na hii Hali.
 
dawa ya AISH HIRARY NA MALOCHA inachemka hawa jamaaa!!! bungeni wanasinzia tu!!kibaya zaidi wamewasaliti wananchi kwa kuikataa rasimu ya warioba!!!
 
dawa ya AISH HIRARY NA MALOCHA inachemka hawa jamaaa!!! bungeni wanasinzia tu!!kibaya zaidi wamewasaliti wananchi kwa kuikataa rasimu ya warioba!!!

kila aliyekubali rasimu ya chenge amekwisha .
 
Mbona hayo no Maui ya magoti us it I she with wewee
 

Kazi nzuri sana hiyo delete futa kabisa ccm tutaelewana tuu
 
Ileje, umepagawa mpaka umeishia kupongeza tu badala ya kutueleza unawapongeza kwa mambo gani waliyofanya.Hebu tueleze ndugu yangu tujue yaliyotokea huko rukwa na mwambao wa ziwa tanganyika mpaka ccm wakatumbukia na maji kuwafika shingoni!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…