Enzi za wananchi kutoa kura kwa kuimbiwa nyimbo za kuvutia zimekwisha aje Komba au hata Shetani mwingine wana Igunga hawadanganyiki. Bye Bye CCM.Hivi kapteni Komba hajaja huko la lile lori lake na band yake ya kwaya na taarabu?
Nduka usikasirike plz,, mayb mods ameogopa avatar yako ilivyo ya ajabuMODS wanazi wa CDM wameifuta comment yangu, hivi ninyi hamnaga aibu, mnata kila mtu akae asifie tu CDM, acheni unazi wewe kama mod kazi yako ni ku moderate sio kutetea CDM au ndi mlivyoelekezwa na ma bosi wenu? Hivi unadhani hii komenti moja hapa inaweza kubadili matokeo Igunga? Hebu acheni bongo zenu zifanye kazi si kutumia yale sijui nini wanayaita DIDAS. Acha comments hata kama wewe haikufurahishi kama unajiona unaroho nyepesi na mapenzi na chama chako yamezidi si ingia tu kama member wa kawaida tupiganishe hoja na si huo uoga wenu. pengine ninyi ndio mnaokichafua chama cha CDM kuonekana kama watu wasio kuwa na uvumilivu kumbe ni mijitu michache tu, mbona hao wenye CDM tunakaa nao na kubishana, tunaita magwanda, magamba na kokrochi halafu tunaendelea kugengeana misuba? khaaa SHAME ON wewe mod uliye futa comment na kwa kuwa nilikuwa na ku monitor nitakufuata huko huko kukuonesha mimi ni nani EBOOOOOOO.
<br /><b>Ndugu wana JF,<br />
<br />
Ni usiku wa saa nne kwa hapa Tz ninapoandika ujumbe huu. Nimeongea na jamaa yangu ambaye ni askari polisi ambaye kwa sasa yupo Igunga. Tathmini aliyoitoa n kwamba CCM hali yao ni mbaya sana Igunga na hivyo kwa sasa wanajiandaa kwa hali na mali washirikiane na jeshi la polisi kuvuruga harakati za ukombozi wa pili wa watanzania na wananchi wa Igunga. Tayari kuna makamanda kama saba wa polisi ambao wamepelekwa huko akiwemo aliyerithi Mikoba ya Kamanda Tossi, huyo anaitwa Anacleth. Wengine ni akina Siro na Liberatus Baro. Wote hapa sasa wanashawishiwa na serikali iwatumia polisi kuhakikisha kuwa CCM inashinda kwa hila. Magari mengi ya maji ya kuwashwa yameshapelekwa huko kwa ajili ya kutoa tvitisho kwa wananchi. Wanaigunga wameamka mno safari hii. Jamaa yangu pia amethibitisha kuwa CCM inabeba watu kutoka vijiji ambavyo viko nje ya Igunga ili mradi ionekane tu kuwa inajaza watu kwenye mikutano.<br />
Kwa wana Chadema mlio Igunga, kazeni buti na mikakati mathubuti iwekwe kulinda kura</b>
<br /><font color="#4b0082"><span style="font-family: century gothic">Mkuu kiukweli kabisa hizi ndio choko choko za uchochezi, <br />
Niajabu kuna watu tunashindwa hata kuhoja angalau kwa undani huyu mtu anaongea nini? kila mtu narukia na kusapoti kwasababu tu habari hii ipo in favor na chama unachokipenda.<br />
Inawezekana ikawa kweli CCM wakawa maji ya shingo lakini habari hii haina kichwa wala miguu, na mleta mada alijua akiropoka ilimradi anaisapoti Chadema basi atapata sapoti toka kwa watu kibao.<br />
Big up kwa </span></font><span style="font-family: century gothic"><a href="https://www.jamiiforums.com/members/who-cares-.html" target="_blank"><font color="#4b0082"><b>Who Cares?</b></font></a></span><font color="#4b0082"><span style="font-family: century gothic"> angalau amejibu ki kreta sinka</span></font>
Mkuu kiukweli kabisa hizi ndio choko choko za uchochezi,
Niajabu kuna watu tunashindwa hata kuhoja angalau kwa undani huyu mtu anaongea nini? kila mtu narukia na kusapoti kwasababu tu habari hii ipo in favor na chama unachokipenda.
Inawezekana ikawa kweli CCM wakawa maji ya shingo lakini habari hii haina kichwa wala miguu, na mleta mada alijua akiropoka ilimradi anaisapoti Chadema basi atapata sapoti toka kwa watu kibao.
Big up kwa Who Cares? angalau amejibu ki kreta sinka
...Mkuu achana na Magamba wanaweza kuwafanyia mazingaombwe ukashangaa wanashinda mkabaki mnaulizana mbona walifanya mkutano mmoja tu wa kampeni....!!Chadema kwa mikakati ni balaa..ndiyo maana CCM wamepigwa na butwaa. Wenzako kama wamefanya mikutano 21 na wewe mmoja wa kuchakachua unategemea nini??. CDM ni mwisho wa matatizo...a very strategic party ever. Ikiwzekana msitumie helkopta
<br />Magawnda yanajifariji na kujilizawa!<br />
Vipi hao vijana waliomwagwa na zile Fuso za CDM kutoka Moshi na Arusha ni wapiga kura wa jimbo hilo? Huko ni kujidanganya na sijui ni nani analipa gharama za chakula na malazi kwa vijana hawa zaidi ya 400 walioletwa na CDM ili kuongeza wingi wa watu katika mikutano yao
<br /><font size="3"><span style="font-family: franklin gothic medium">Ushindi wa uchaguzi haupo kwenye kuanzisha threads za kishabiki.<br />
Pamoja na kuhutubia wanafunzi wa shule ya msingi bado mwaona mtashinda.<br />
</span></font>
Mkuu usibweteke na ishara ya vidole viwili toka kwa hao machalii, mmejipanga vipi kulinda kura?Jimbo laini sana hili,na wanaIgunga wapo tayari kwa mabadiliko,kimsingi kwenye uchaguzi wa mwaka jana Chadema tulipata madiwani 2,wa kuchaguliwa na 1 wa viti maalum.Kila unayekutana nae anaonyesha ishara ya chadema hata watoto,ambayo ni ishara kuwa hata wazazi ndicho wafanyacho.,,ntaendelea kuwajuza
Nasikia eti Mweigulu Nchemba kafumaniwa anaharibu ndoa ya watu!Kwa kweli ni muda wa kuwaacha wananchi kuchagua mtu na chama wakipendacho na si vinginevyo kama kweli tunataka Demokrasia ya kweli kwa waTz na maendeleo endelevu!<br />
Wagombea acheni kununua uhuru wa wananchi kwa kuwahonga.
Kaka heshima. Hapo kwenye red ndipo hasa "wataalam" wa fani mbalimbali - sayansi jamii, sayansi siasa, sosholojia, n.k. n.k. wanatakiwa kukuna vichwa kujiuliza huwa inakuwaje? Fikiria chama ambacho hakina resources zozote kubwa wala hakina dola na vyombo vyake wala, wala, wala, ... lakini kinapata sapoti ya ajabu hivyo! Huwa inakuwaje? Hebu tujifikirishe kidogo.
[Ukweli unauma, ROSTAM hakuwa mjinga kujiuzulu ubunge. Na sasa ameingia kwenye kampeni kumaliza kazi.ROSTAM amewaingiza CCM kwenye kona zake hureeeeeeeeeeeeeeee.Asante kaka MKAPA kwa kuipa CHADEMA ushindi wa bureeeeeeeeeeeeeee.]
Who leads in the polls?CCM maji shingoni Igunga