CCM maji shingoni Igunga

<br />
<br />
kwnye kundi la mbuzi kondoo huji tenga
 
Ccm tumeagiza vijana wapya kutoka ccp moshi,wanakuja kuiba kura. Ukileta kidomo tunakupa kesi ya babusea.
 
Habari zenyu bhana....,bila shaka haina majotro Igunga. Kimbiza hao mafisadi. Peoplz power!
 

Karibu ritz
Usikimbie humu,kazi inaendelea,CHADEMA haijwahi na haiwezi kubeba watu wahudhurie mikutano yao
 

hebu telimishe unafikiri safari hii ccm wataitumiaje dola kutudhulumu haki yetu ya uchaguzi wa huru na haki?
 
Hongera CDM, ila msibweteke hawa jamaa bado wana magamba hawaogopi kuchakachua! japokuwa nimeangalia clip ya rostam aziz nikaona anashindwa kuhutubia wana iguga zaidi ya kusema nimekuja kumuombea kura huyu jamaa wa magamba kisha akashuka kwenye jukwaa! hii ni dalili kwamba alitishiwa kusimamishiwa biashara zake kwa kudaiwa malimbikizo ya kodi kama angekataa kupanda jukwaani kuyasema hayo huku amesimamiwa!
 
Chadema kwa mikakati ni balaa..ndiyo maana CCM wamepigwa na butwaa. Wenzako kama wamefanya mikutano 21 na wewe mmoja wa kuchakachua unategemea nini??. CDM ni mwisho wa matatizo...a very strategic party ever. Ikiwzekana msitumie helkopta

Walikuwa busy na maombelezo kule zenji
 
[QUOTdEd=Feedback;2499624]

Mbona watoto wa shule ndio wengi au huko wanaruhusiwa kupiga kura.[/QUOTE]

Shule za msingi Igunga zimefungwa nn?
 
<br /> <br / MI NAWAOMBA SANA WANA IGUNGWA WAITENDEE HAKI TANZANIA KWA KUMCHAGUA KAMANDA WA CDM. MUNGU IBARIKITZ, MUNGU WABARIKI wana IGUNGA
 
<br />
<br />
sera sio siri kama kutongozana. Sasa kama hawafanyi mikutano hizo sera wapiga kura wanazickia wapi?
 
Wamejaribu kupiga kampeni hapa jamvini wameshindwa. Bye devil ccm
<br />
<br />
eh eh eh oyeee jamani lini na cc wa Bk tutajikomboa kama hawa wenzetu natamani ingetokea BK hii ya kujivua gamba.
 
Umesahau wana trainee Green guard?
<br />
<br />
Kimsingi dola inatumika kuwatisha wananchi,wanatumia polisi,na watendaji wa vijiji,,ingawa pia tumejipanga kila idara,na kamwe hawatafanikiwa,maana wao wana pesa sisi tuna Mungu
 
na hisi mkushinda cdm hali ya igunga itasuasua zaidi ya alivyokuwepo RA kwani mkuu wa kaya anajazba sio kitoto..

kila la kheri wanaCDM..
 
Muhimu CDM kuweka mikakati ya kulinda kura maana magamba wanajua bila wizi ushindi kwa ndoto
 
<br />
<br />
Kimsingi dola inatumika kuwatisha wananchi,wanatumia polisi,na watendaji wa vijiji,,ingawa pia tumejipanga kila idara,na kamwe hawatafanikiwa,maana wao wana pesa sisi tuna Mungu
Wao wanataja pesa na kuwapa chumvi sisi tunataja Mungu na mtaji wetu nguvu ya umma.Hakuna kuwanahofu kwani Mungu anaenda pamoja na CHADEMA na tutashinda jimbo la Igunga
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt; mkuu Ephata nakuaminia.Vipi wabunge wetu wako huko? Kwa sababu kwa mujibu wa magazeti inatangazwa mikutano ya slaa peke yake.Tafadhali tujibu tunakutegemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…