CCM leo ni leo Ngusero Sombetini

CCM leo ni leo Ngusero Sombetini

aminangalo

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2013
Posts
974
Reaction score
190
Leo CCM watafanya mkutano wa hadhara Ngusero Sombetini ambapo viongozi wa wilaya na mkoa wataunguruma
 
tangu lini maiti ikapambana na walio hai? CCM bado wapiga kampeni arusha?makubwa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
CCM huwa inawatukana kila mara watu wa Kaskazini na ilidiriki kusema kupitia UVCCM mkoa wa Pwani kwamba "kamwe Rais hatatoka kaskazini".Sasa inaenda arusha kufanya nini?Au Arusha sio Kaskazini?
 
Msisahau kuwabeba watu kwa maroli. Ila mnanifurahisha pale mnapotoa one-way route (go only) kwa hao watu.
 
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Mkutano wao wao unaweza kunoga kama watawajumuisha akina Kibaji, Serukamba, Nkamia ili wakatoe burudani ya matusi, na yule mbunge wa viti maalum akatoe ushuhuda wa jinsi anavyokabemenda kavulana na Kapuya jinsi alivyokabaka kabinti
 
CCM bado wapo waliobakia Arusha? Moshi kata ya Kiborloni ccm wakipata kura 100 wana bahati sana.
 
Ule mkutano wa Mwigulu jumapili iliyopita pale Mbauda, ulizidi kunipa imani kuwa CCM ni chama cha watanzania wote!
 
Maccm mtalaaniwa kwa damu mliyoimwaga Sombetini.Mnachokuja kufanya Ngusero ni nini wakati hamuhitajiki?
 
Ule mkutano wa Mwigulu jumapili iliyopita pale Mbauda, ulizidi kunipa imani kuwa CCM ni chama cha watanzania wote!

Ahahahaha......labda ww na familia yako ....wakina mjusi nao ni watu ?
 
CCM huwa inawatukana kila mara watu wa Kaskazini na ilidiriki kusema kupitia UVCCM mkoa wa Pwani kwamba "kamwe Rais hatatoka kaskazini".Sasa inaenda arusha kufanya nini?Au Arusha sio Kaskazini?

mkuu haya mamizigo hayana hakili,yana saau hata kauli zao.
 
Back
Top Bottom