TAMKO
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,090
- 762
Wiki hili tumekuwa bize kupokea wageni kutoka mikoani Kwa ajili ya tukio la harusi Jumamosi ya Kesho, tukiwa Kama vinara wa maandalizi, Jana Jioni tukawatoa wazee wetu kuwapeleka pahala wabadilishane mawazo Na kufahamiana zaidi pande zote mbili Mke/mme huku wakipata maji matam. wazee hawa toka mikoa Kama mitano tofauti timu ya watu Kama 14 hivi.. Wakati baraza likiendelea Kama kawa tukawa tunachombeza inshu Za kisiasa kupima hali ya Hewa huko mikoani..
Unajua tena wazee nao wanasoma upepo wa mazungumzo wasijejichomeka kusiko, pasina shaka yoyote tulijua wazee hawa wote au karibia wote WALIKUWA TANU DAMDAM Na sasa wako CCM vilevile so tukawa tukiwatia moyo Kwamba Chama Lao bado liko fit as per chaguzi Za madiwani Kwamba wamepata more seats..
Of couse Kwenye bunge letu lile lisilo rasmi tulijifanya nasi ni wafuasi Wa CCM ili tusiwakere wazee wetu hawa off couse harusi ianze Na kumalizika fresh.. Cha kushangaza mzee mmoja akafunguka Na kusema '' Tunawashangaa sana nyie watu wa Dar, mnaipenda sana CCM'' Kwa taarifa yenu huko mikoani CCM INACHUKIWA NA KUCHUKIKA.. '' hapo baraza likageuka Na kuchangamka kila mzee sasa akafunguka Na kuanza kutema Cheche jinsigani CCM inavyochukiwa Kwenye maeneo ya mkoa wake, imagine within 14 wazee and more 2 others waliotujoin baadae hakuna Hata mmoja aliyeonekana kuwaunga mkono nyinyiem. Mmoja akadirikii kusema Kwenye michezo Yao ya Bao akitokea mzee anaongelea kuisifia
CCM wanamtenga Na hawajishughulishi nae, Hata akipata tatizo hawaendi kumwona, manake ni MWIZI nae VILEVILE..
Mmoja akafunguka zaidi Na kudai kama watu wa DSM tutaendelea Na Tabia mbaya ya kuendekeza CCM Basi ni aheri mikoa ijitenge kila mmoja iwe Na serikali yake.. Mmoja akadakia wazara zote, Serikali kuu yote, Na Mali zake zote ziko Dar, makampuni yote yanayoinyonya nchi yako Dar na yanamilikiwa na viongozi waliopo Dar hii hii. Viongozi wote wakuu wa Chama na serikali yake wako Dar, hivyo Dar ndio inafaidi Jasho la watanzania wengine. Akasema pia ni kweli Dar Yenye wakazi zaidi ya milioni 5, ni kura nyingi sana hivyo wanaweza kuathiri matokeo ya uchaguzi Kwa asilimia kubwa..
Wanasema zomea zomea sasa imepitwa Na wakati wanaanza mawe. 'kama wezi Wa kuku wanapigwa mawe KWANINI wezi wa taifa wasipigwe mawe vilevile?' alihoji mzee mmoja huku wengine wakimshangilia Kama shujaa flan.. Bunge lile tulilikatiza saa Saba Usiku, liliwavutia sana wananchi wengine around that place .. Nikapata Picha jamaa wanachukiwa mbaya..!!, Mtu mmoja nakumbuka aliuliza JE , Chama gani mnadhani ndicho kichukue Dola hiyo 2015, mzee mmoja akajibu Kwa upande wake yeye CCM hawaitakiiii..! Kiingie Chochote lakini sio CCM kauli iliyoonekana kuungwa mkono sana.
Tukachombeza Kwa kuuliza JE kikiingia Chama kingine wanauhakika gani hakitakuwa Kama CCM.. Mmoja fasta akafunguka Na kimsemo' Nyoka ukishajua kaingia chumbani huwezi kulala tena humo, lakini kama hujajua hatari iliyoko ndani utaingia Na kulala salama kabisa, sasa wameshamjua Nyoka iweje wamchague tena? By then nikawauliza kwani ubaya Wa CCM ni huu unaosemwa magazetini au upi, wazee hawa as if walishakaa kabla kupanga majibu mmoja akafunguka, CCM ya Mwalimu Kambarage sio hii, siku hizi kila kitu rushwa, ukienda serikali Za mitaa rushwa, polisi rushwa, mahakamani rushwa, mbaya zaidi hawakuombi rushwa ila utazungushwaaa hadi ugundue mwenyewe kutoa 'mafuta' hapo tayari haraka wanakushugh'ulikia, ukishtaki serikali Za mtaa umemchongea Mtu, unakuta Mtu kakuibia kitu, au kakufanyia fujo, ukienda kushataki polisi Basi polisi wanakusumbua wewe hadi unasamehe, ukishtaki sehemu basi taarifa lazima zimfikie yule uliyemshataki Basi anakuja kukutisha mzee lazima uhame mji, mzee mnoko sana wewe..!' sasa huu uonevu gani, ingekuwepo serikali imara wananchi wake tusingenyanyasika hivi..
Jamani was too long but I realize our mikoani pipo hate this party Kwa kiwango Kikubwa sana..kujisafisha Kwa Chama hiki Kwa sasa ni Ngumu sana, hakijaoza matawi bali shina Na mizizi yake imeshaoza siku nyingi, bidii ya kukunusuru Chama Kwa sasa haipo labda Kama alivyotabiri Nape Kwamba wengi watakikimbia Chama Na hatimae atabaki Yeye alikiunda upya, sasa sijui itakuwa ni baada ya miaka mingapi kikiwa Cha Upinzani.. !!!
Unajua tena wazee nao wanasoma upepo wa mazungumzo wasijejichomeka kusiko, pasina shaka yoyote tulijua wazee hawa wote au karibia wote WALIKUWA TANU DAMDAM Na sasa wako CCM vilevile so tukawa tukiwatia moyo Kwamba Chama Lao bado liko fit as per chaguzi Za madiwani Kwamba wamepata more seats..
Of couse Kwenye bunge letu lile lisilo rasmi tulijifanya nasi ni wafuasi Wa CCM ili tusiwakere wazee wetu hawa off couse harusi ianze Na kumalizika fresh.. Cha kushangaza mzee mmoja akafunguka Na kusema '' Tunawashangaa sana nyie watu wa Dar, mnaipenda sana CCM'' Kwa taarifa yenu huko mikoani CCM INACHUKIWA NA KUCHUKIKA.. '' hapo baraza likageuka Na kuchangamka kila mzee sasa akafunguka Na kuanza kutema Cheche jinsigani CCM inavyochukiwa Kwenye maeneo ya mkoa wake, imagine within 14 wazee and more 2 others waliotujoin baadae hakuna Hata mmoja aliyeonekana kuwaunga mkono nyinyiem. Mmoja akadirikii kusema Kwenye michezo Yao ya Bao akitokea mzee anaongelea kuisifia
CCM wanamtenga Na hawajishughulishi nae, Hata akipata tatizo hawaendi kumwona, manake ni MWIZI nae VILEVILE..
Mmoja akafunguka zaidi Na kudai kama watu wa DSM tutaendelea Na Tabia mbaya ya kuendekeza CCM Basi ni aheri mikoa ijitenge kila mmoja iwe Na serikali yake.. Mmoja akadakia wazara zote, Serikali kuu yote, Na Mali zake zote ziko Dar, makampuni yote yanayoinyonya nchi yako Dar na yanamilikiwa na viongozi waliopo Dar hii hii. Viongozi wote wakuu wa Chama na serikali yake wako Dar, hivyo Dar ndio inafaidi Jasho la watanzania wengine. Akasema pia ni kweli Dar Yenye wakazi zaidi ya milioni 5, ni kura nyingi sana hivyo wanaweza kuathiri matokeo ya uchaguzi Kwa asilimia kubwa..
Wanasema zomea zomea sasa imepitwa Na wakati wanaanza mawe. 'kama wezi Wa kuku wanapigwa mawe KWANINI wezi wa taifa wasipigwe mawe vilevile?' alihoji mzee mmoja huku wengine wakimshangilia Kama shujaa flan.. Bunge lile tulilikatiza saa Saba Usiku, liliwavutia sana wananchi wengine around that place .. Nikapata Picha jamaa wanachukiwa mbaya..!!, Mtu mmoja nakumbuka aliuliza JE , Chama gani mnadhani ndicho kichukue Dola hiyo 2015, mzee mmoja akajibu Kwa upande wake yeye CCM hawaitakiiii..! Kiingie Chochote lakini sio CCM kauli iliyoonekana kuungwa mkono sana.
Tukachombeza Kwa kuuliza JE kikiingia Chama kingine wanauhakika gani hakitakuwa Kama CCM.. Mmoja fasta akafunguka Na kimsemo' Nyoka ukishajua kaingia chumbani huwezi kulala tena humo, lakini kama hujajua hatari iliyoko ndani utaingia Na kulala salama kabisa, sasa wameshamjua Nyoka iweje wamchague tena? By then nikawauliza kwani ubaya Wa CCM ni huu unaosemwa magazetini au upi, wazee hawa as if walishakaa kabla kupanga majibu mmoja akafunguka, CCM ya Mwalimu Kambarage sio hii, siku hizi kila kitu rushwa, ukienda serikali Za mitaa rushwa, polisi rushwa, mahakamani rushwa, mbaya zaidi hawakuombi rushwa ila utazungushwaaa hadi ugundue mwenyewe kutoa 'mafuta' hapo tayari haraka wanakushugh'ulikia, ukishtaki serikali Za mtaa umemchongea Mtu, unakuta Mtu kakuibia kitu, au kakufanyia fujo, ukienda kushataki polisi Basi polisi wanakusumbua wewe hadi unasamehe, ukishtaki sehemu basi taarifa lazima zimfikie yule uliyemshataki Basi anakuja kukutisha mzee lazima uhame mji, mzee mnoko sana wewe..!' sasa huu uonevu gani, ingekuwepo serikali imara wananchi wake tusingenyanyasika hivi..
Jamani was too long but I realize our mikoani pipo hate this party Kwa kiwango Kikubwa sana..kujisafisha Kwa Chama hiki Kwa sasa ni Ngumu sana, hakijaoza matawi bali shina Na mizizi yake imeshaoza siku nyingi, bidii ya kukunusuru Chama Kwa sasa haipo labda Kama alivyotabiri Nape Kwamba wengi watakikimbia Chama Na hatimae atabaki Yeye alikiunda upya, sasa sijui itakuwa ni baada ya miaka mingapi kikiwa Cha Upinzani.. !!!