CCM kwenu hoja ni nini?

CCM kwenu hoja ni nini?

Wapinzani wanapouliza eti CCM wanasema wapinzani hawana hoja wana maana gani hivi ni kweli hoja za wapinzani ni zipi . hoja zao kubwa utasikia serkali haijafanya kitu toka Uhuru. Inashangaza hats wazee kama kingunge Suma. Lowa nk miaka ya 60 na Leo hakuna tofauti basis upinzani ni naamini ni upofu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very smart question, mimi hua nashangaa wanaposema wapinzani hawana hoja bali wanarukia matukio tu juu ya mambo yanayofanywa na serikali., hebu leo katika huu uzi watuambie hoja hua zinatoka wapi, wenzetu sijui hua wanapata wapi hoja, hebu leo watujuze
 
mm n mwanaCCM, hoja n kukubaliana na sisi, sera n ilani ya chama chetu, teh teh teh... au hamjaelewa nyie vilaza?
 
Hii thread ni ushahidi mwingine wa wapinzani kutokuwa na hoja.
 
Wapinzani mlisema kikwete anasafiri sana nje, jpm amezuia safari za nje, sasa mmebadik tena, mnataka asafiri! kwa nini?- hamna hoja.
Mlipigia kelele ufisadi,sasa jpm anasafisha kabisa hili tatizo, ninyi mnayatetea mafisadi, kwa nini?- hamna hoja!
mlimpinga kikwete kwamba ni dhaifu, mkattaka tupate rais mkali, tumemptata jpm, sasa mnaimc kuwa na imani na kikwete, kwa nini?- hamna hoja!
Mlisema kwamba el ni fisadi mkuu, na video clips zipo, leo mnampigia magoti, kwa nini? hamna hoja!
Ongezeeni na mengine sasa............!
 
mukuje huku, mutuambie hoja mana yake nin,. mana utackia wapnzan hawana hoja, mara hawana sera. MUKUJE huku haraka
 
Back
Top Bottom