RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
-Hakuna chama chochote kilichoongoza nchi zaidi ya chama cha ccm wizi wao mikataba mibovu wao utoroshwaji wa madini wao wizi wa mali za umma wao tangu tumepata uhuru
- Majizi yanazidi kutafuna pesa za umma kila kukicha kashifa ni wao mfano Arusha na daresalaam waziri mkuu amechukua hatua pote za kuwasimamisha kazi.
- CCM ya sasa inajenga vyoo kwa pesa za mkopo na madarasa huku viongozi wake wakiendelea kuguswa na kashifa mbalimbali za ubadhilifu wa fedha
- Kwanini ripoti ya CAG husomwa hadharani lakini utejekezaji unakuwa hamna kwa wabadhilifu?
Tanzania yetu kuna watu wameshiba kwelikweli na wanapeana vyeo hawastaafu nchi ni kama nikundi cha watu wachache kimejimilikisha wengine wanalia wengine wanafrahi na kugonga cheers kwenye makongamano.
- Majizi yanazidi kutafuna pesa za umma kila kukicha kashifa ni wao mfano Arusha na daresalaam waziri mkuu amechukua hatua pote za kuwasimamisha kazi.
- CCM ya sasa inajenga vyoo kwa pesa za mkopo na madarasa huku viongozi wake wakiendelea kuguswa na kashifa mbalimbali za ubadhilifu wa fedha
- Kwanini ripoti ya CAG husomwa hadharani lakini utejekezaji unakuwa hamna kwa wabadhilifu?
Tanzania yetu kuna watu wameshiba kwelikweli na wanapeana vyeo hawastaafu nchi ni kama nikundi cha watu wachache kimejimilikisha wengine wanalia wengine wanafrahi na kugonga cheers kwenye makongamano.